Nahitaji kufunga solar system nyumbani

Thabit Karim

JF-Expert Member
Sep 3, 2012
364
645
Nahitaji kufunga solar system nyumbani kwangu. Nahitaji kuwasha Tv nchi 43, visimbuzi viwili, playstation 5 taa tano za watts 10. Pia kutumia rice cooker ya Watts 700 na blander ya watts 400.

Mwanzo nilipanga kununua watts 100 na inverter ya watts 500 na betri ya N75. Je ni sawa?


N.b

Hivi vitu sio kuwasha kwa pamoja na matumizi yangu hayazidi masaa 4 kwa siku tena km umeme wa Tanesco haupo. Narudi saa kumi tokea kazini. So tatumia km Tanesco wamekata

Ushauri wenu
 
Tafuta wauzaji wa Solar ambao wana mafundi watakufanyia dimensioning...

Basics ni kwamba kinachozalisha umeme (battery, panels) > kuliko mzigo (pasi+tv+game console n.k)...

Watacalculate na discharge rate ya battery unayotaka ili kujua itatembea muda kuweza kubeba mzigo wako...
 
Nahitaji kufunga solar system nyumbani kwangu. Nahitaji kuwasha Tv nchi 43, visimbuzi viwili, playstation 5 taa tano za watts 10. Pia kutumia rice cooker ya Watts 700 na blander ya watts 400.

Mwanzo nilipanga kununua watts 100 na inverter ya watts 500 na betri ya N75. Je ni sawa?


N.b

Hivi vitu sio kuwasha kwa pamoja na matumizi yangu hayazidi masaa 4 kwa siku tena km umeme wa Tanesco haupo. Narudi saa kumi tokea kazini. So tatumia km Tanesco wamekata

Ushauri wenu


Kwasababu kuna blender, inverter sizing ni 2000W by default. Technically any motorized load inachukua 3-5 times ya rated power during startup and inarudi kwenye kuboperate at rated power after few seconds.

2nd, 500w inverter haiwezi kuoperate rice cooker ya 700w. (500w<700w)


3rd, assuming unapata masaa 10 ya jua huko uliko throughout a day, panel ya 100w itakupa watt 1000Wh au unit 1kWh. Zitahitaji minimum battery ya 83.3Ah 12V kua stored.


4th, Unlike Lithium battery, kwa case ya battery za Lead-Acid, flooded (za maji, unadvisable) na Gel lazima uangalie Minimum discharge level. Kawaida advisable limit ni 50% ili kuipa maisha. Consider this during design.

Your system is sizable, location?
 
Kwasababu kuna blender, inverter sizing ni 2000W by default. Technically any motorized load inachukua 3-5 times ya rated power during startup and inarudi kwenye kuboperate at rated power after few seconds.

2nd, 500w inverter haiwezi kuoperate rice cooker ya 700w. (500w

3rd, assuming unapata masaa 10 ya jua huko uliko throughout a day, panel ya 100w itakupa watt 1000Wh au unit 1kWh. Zitahitaji minimum battery ya 83.3Ah 12V kua stored.


4th, Unlike Lithium battery, kwa case ya battery za Lead-Acid, flooded (za maji, unadvisable) na Gel lazima uangalie Minimum discharge level. Kawaida advisable limit ni 50% ili kuipa maisha. Consider this during design.

Your system is sizable, location?
Ngoja niendelee kusoma hapa nna mpango huu pia

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kwasababu kuna blender, inverter sizing ni 2000W by default. Technically any motorized load inachukua 3-5 times ya rated power during startup and inarudi kwenye kuboperate at rated power after few seconds.

2nd, 500w inverter haiwezi kuoperate rice cooker ya 700w. (500w<700w)


3rd, assuming unapata masaa 10 ya jua huko uliko throughout a day, panel ya 100w itakupa watt 1000Wh au unit 1kWh. Zitahitaji minimum battery ya 83.3Ah 12V kua stored.


4th, Unlike Lithium battery, kwa case ya battery za Lead-Acid, flooded (za maji, unadvisable) na Gel lazima uangalie Minimum discharge level. Kawaida advisable limit ni 50% ili kuipa maisha. Consider this during design.

Your system is sizable, location?
Maelezo mazuri ila hujatoa solution watu wajifunze anatakiwa kutumia battery na solar na invetar zote za size gani?
 
Kwa uzoefu wangu kulingana na uhitaji wako

battery isiwe chini ya 200Ah,

inverter kuanzia 2000W ya ukweli maana kuna nyingine zinaandikwa 2000w lkn unakuta max power ni 800w

,japo ukitaka kuwasha blender utalazimika kuzima vifaa vingine vyoote solar pannel 200w + pamoja na MPPT charger controler

lakini pia utatakiwa uwe na Automatic transifer switch ili umeme ukikata inaswitch kwenye solar na pia uwe na uwezo wa kutumia wiringi hiyo hiyo
 
Kwa uzoefu wangu kulingana na uhitaji wako

battery isiwe chini ya 200Ah,

inverter kuanzia 2000W ya ukweli maana kuna nyingine zinaandikwa 2000w lkn unakuta max power ni 800w

,japo ukitaka kuwasha blender utalazimika kuzima vifaa vingine vyoote solar pannel 200w + pamoja na MPPT charger controler

lakini pia utatakiwa uwe na Automatic transifer switch ili umeme ukikata inaswitch kwenye solar na pia uwe na uwezo wa kutumia wiringi hiyo hiyo

Asante sana. Ila kuna mdau ameniambia eti unaweza kutumia rice cooker kwny inverter hata ya 500 watts
 
Kwa uzoefu wangu kulingana na uhitaji wako

battery isiwe chini ya 200Ah,

inverter kuanzia 2000W ya ukweli maana kuna nyingine zinaandikwa 2000w lkn unakuta max power ni 800w

,japo ukitaka kuwasha blender utalazimika kuzima vifaa vingine vyoote solar pannel 200w + pamoja na MPPT charger controler

lakini pia utatakiwa uwe na Automatic transifer switch ili umeme ukikata inaswitch kwenye solar na pia uwe na uwezo wa kutumia wiringi hiyo hiyo
Mimi nitumie pannel solar ngapi na bettery yenye ukubwa gani ili niweze kuvuta maji kisimani na kuyapandisha kwenye tank
 
Kwa haraka haraka kwa uzoefu wa matumizi ya solar maskani.

Nunua battery ya N200, solar panel ya watt 300 au juu yake hivi, kisha uoate inverter ya PURE SINE WAVE watt 2000 hivi. Hapo utaishi kwa amani.
Ukiwa na solar jitahidi upate vifaa vya solar, tv ya solar, friji la solar, blender sijui feni, hapo utaenjoy mzee, mambo ya inverter utayaepuka, na inverter ya pure sine wave si mchezo bei yake.
 
Hapo Kwa haraka upate inverter ya watts 1500 maana ndio inayobadili umeme kuja kuwa kama wa nyumbani sasa muda gani utatumia itategemea na kihifadhio Cha umeme yaani betri Kwa hapo walau upate betri za watts 200 ziwe mbili Kwa Moja kama utakuwa unachungulia inavyoshuka ila watts 400 ziwe nzuri utasurvive Kwa masaa hayo na panel za ziwe za watts 500 ili kujaza betri zako ujipange kidogo hasa betri
 
Mimi nitumie pannel solar ngapi na bettery yenye ukubwa gani ili niweze kuvuta maji kisimani na kuyapandisha kwenye tank
Jambo la msingi zingatia Kwa kuangalia pamp ni watts ngapi mfano watts 300 basi inverter inayobadili umeme kuwa kama wa tanesco izidi watts hizo 300 walau iwe na 300 kifupi jumlisha watts ya vifaa vyako ikiwa unatumia Kwa pamoja ukipata 1500 basi inveta izidi iwe hata 2000 utaweza kuvioperate vyote muhimu lingine iwe umeme unaohifadhi nilivyosikia betri ya n 100 Ina unit 1.2 ikijaa na ikiwa mpya je matumizi yako ni 1.2 Kwa siku labda hapana ni unit 5 basi itakubidi uwe na betri walau 6 za N100 kuinjoy
 
Jambo la msingi zingatia Kwa kuangalia pamp ni watts ngapi mfano watts 300 basi inverter inayobadili umeme kuwa kama wa tanesco izidi watts hizo 300 walau iwe na 300 kifupi jumlisha watts ya vifaa vyako ikiwa unatumia Kwa pamoja ukipata 1500 basi inveta izidi iwe hata 2000 utaweza kuvioperate vyote muhimu lingine iwe umeme unaohifadhi nilivyosikia betri ya n 100 Ina unit 1.2 ikijaa na ikiwa mpya je matumizi yako ni 1.2 Kwa siku labda hapana ni unit 5 basi itakubidi uwe na betri walau 6 za N100 kuinjoy
Nipo hapa kuomba ushauri ili nipate kujua naanzia wapi , nataka nifunge mfumo wa solar wa kupandisha maji kwenye tank kwa ajili ya matumizi ya nyumbani tu, so nataka mtaalamu aniambie kuwa vifaa hivyo vyote nje na tank ili tu kupata umeme wa kupandisha maji natakiwa kuandaa sh ngapi?
 
Jambo la msingi zingatia Kwa kuangalia pamp ni watts ngapi mfano watts 300 basi inverter inayobadili umeme kuwa kama wa tanesco izidi watts hizo 300 walau iwe na 300 kifupi jumlisha watts ya vifaa vyako ikiwa unatumia Kwa pamoja ukipata 1500 basi inveta izidi iwe hata 2000 utaweza kuvioperate vyote muhimu lingine iwe umeme unaohifadhi nilivyosikia betri ya n 100 Ina unit 1.2 ikijaa na ikiwa mpya je matumizi yako ni 1.2 Kwa siku labda hapana ni unit 5 basi itakubidi uwe na betri walau 6 za N100 kuinjoy
Good. but not possible. Its common practice now ku operate Pump au motor bila betri. Technically not advisable kutumia battery kurun pump. Zitakufa wiki tu.
 
Nipo hapa kuomba ushauri ili nipate kujua naanzia wapi , nataka nifunge mfumo wa solar wa kupandisha maji kwenye tank kwa ajili ya matumizi ya nyumbani tu, so nataka mtaalamu aniambie kuwa vifaa hivyo vyote nje na tank ili tu kupata umeme wa kupandisha maji natakiwa kuandaa sh ngapi?
Okay. Just post load requirements zako hapa. I'm not very busy today.
like;

1. Pump: 1hp, 230AC (kama unayo)
2. Location: area name or lat/long
3. Unakisima au RUWASA
4. Expected daily water litres e.g 500L

au kama hauna pump just list the remaining ones
 
Okay. Just post load requirements zako hapa. I'm not very busy today.
like;

1. Pump: 1hp, 230AC (kama unayo)
2. Location: area name or lat/long
3. Unakisima au RUWASA
4. Expected daily water litres e.g 500L

au kama hauna pump just list the remaining ones
Kisima ndio natumia kisima kina futi 60 tu najaza tank liter elfu tano tu kwa matumizi ya home kwangu ni siku 20 kuyamaliza
 
Kisima ndio natumia kisima kina futi 60 tu najaza tank liter elfu tano tu kwa matumizi ya home kwangu ni siku 20 kuyamaliza
Okay. You've not listed other requirements. Location (Street/village name is enough) and pump size
 
Back
Top Bottom