Bulichekah
Member
- Jan 12, 2014
- 68
- 185
Wandugu nawasalimu sana na poleni na pilika za hapa na pale. Nilinunua Inverter ya wati 3000 used ya Taiwan miaka miwili iliyopita na sasa ninahamia maeneo yasiyo na umeme wa grid hapa Dodoma.
Naombeni msaada kwamba ili nitumie hiyo Inverter natakiwa Solar Panel ngapi, za wato ngapi na ni aina ipi ya panel ni nzuri. Na pia ninatakiwa nitumie betri ngapi za wati ngapi na aina ipi nzuri ya betri.
Lengo langu ni kupata umeme wa kuanzia Wati 2500 - 3000.
Nisaidieni ndugu zanguni.
Naombeni msaada kwamba ili nitumie hiyo Inverter natakiwa Solar Panel ngapi, za wato ngapi na ni aina ipi ya panel ni nzuri. Na pia ninatakiwa nitumie betri ngapi za wati ngapi na aina ipi nzuri ya betri.
Lengo langu ni kupata umeme wa kuanzia Wati 2500 - 3000.
Nisaidieni ndugu zanguni.