Copy
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,072
- 1,376
Yna2...Ila napapenda sana mwanza
Naomba nije PM isee...
Angalau tuyajenge kiutu uzima iseee
Yna2...Ila napapenda sana mwanza
I think he is not that serious. Kam ako serious, aseme anataka kwenda kufanya nini? Be specific brother. Hata kama ni kutapeli tutamsaidia. PositiveVibes
Makavu live...I think he is not that serious. Kam ako serious, aseme anataka kwenda kufanya nini? Be specific brother. Hata kama ni kutapeli tutamsaidia. PositiveVibes
We dada mbona unatukana sana, tuliza akili haya ni mapito tu utazoea, ni hali ya kawaida, ina maana makonda kuwapiga pini unataka kukimbilia mwaza???????????, huku tunahonga buku utaweza kweli!Unajua kupigana kwa sasa sina hiyo nguvu waza unavyotaka majitu ya humu yamekaa yanastress tena yanataka kunyanyasa wenzao unazani tumezaliwa kudanga watu wengine hawajui nini wanachojua nikutafuta kwa jasho zao acha unafiki uende mbinguni unaona humu nisehemu ya kujiuzia sasa kwa nani nakingine ujiuze kwa lipi? mimi naraha zangu nikome wewe kama umezoea kulala na malaya sio mimi mwehu wewe sura mbaya kama hutaki kufa chakubimbi wewe .
Pia inategemea wewe unataka kuja Mwanza ukiwa umejiandaa kufanya shughuli gani, lakini usiseme kwamba ndo unakuja kutafuta bado nayo utaiona Mwanza ni ngumu tu.......karibu sana rock cityHamjambo wanajf wote .
Naombeni ushauri kuhusu mwanza.
Nimji mzuri kwamba utaendelea kiuchumi au nitakuja poteza ramani tu .
Naomba ushauri nipo serious nataka niujue kiundani.
Wanaouelewa naombeni majibu mazuri
Napia nyumba zakupanga self inaanza how much .
Ile single self chumba na choo.
Mambo kama hayo.
Nasubiri majibu mazuri kutoka kwenu nakaribu kwakuchangia
Upo too general, ingekua vema ukawa specific kuhusu ushauri unaotaka.Hamjambo wanajf wote .
Naombeni ushauri kuhusu mwanza.
Nimji mzuri kwamba utaendelea kiuchumi au nitakuja poteza ramani tu .
Naomba ushauri nipo serious nataka niujue kiundani.
Wanaouelewa naombeni majibu mazuri
Napia nyumba zakupanga self inaanza how much .
Ile single self chumba na choo.
Mambo kama hayo.
Nasubiri majibu mazuri kutoka kwenu nakaribu kwakuchangia
Hamjambo wanajf wote .
Naombeni ushauri kuhusu mwanza.
Nimji mzuri kwamba utaendelea kiuchumi au nitakuja poteza ramani tu .
Naomba ushauri nipo serious nataka niujue kiundani.
Wanaouelewa naombeni majibu mazuri
Napia nyumba zakupanga self inaanza how much .
Ile single self chumba na choo.
Mambo kama hayo.
Nasubiri majibu mazuri kutoka kwenu nakaribu kwakuchangia