Dharra
JF-Expert Member
- Jun 23, 2017
- 1,661
- 2,970
Kweli Dar sasa pagumu!!! ikiwa mpaka maveterani wakina katoto kazuri wanapakimbia!!!!! aiseee kweli hali gnumu
Ahaaa kumbe....nikutakie kila la kheri mkuu kwenye safari yako ya kuyafikia malengo yako, haya mengine tuachane nayo.Unajua kupigana kwa sasa sina hiyo nguvu waza unavyotaka mahumu wamekaa majitu yanastress tu namimi naraha zangu
TutafutaneIla napapenda sana mwanza
Acheni uchokozi nimetoka kumpa mwenzio madongo sasa hivi sipendi dar ni joto kule kuolewa nope kila unayekuja wanadhani unadanga.Kweli Dar sasa pagumu!!! ikiwa mpaka maveterani wakina katoto kazuri wanapakimbia!!!!! aiseee kweli hali gnumu
Acheni uchokozi nimetoka kumpa mwenzio madongo sasa hivi sipendi dar ni joto kule kuolewa nope kila unayekuja wanadhani unadanga.
Sipapendi huko maisha ni kuact halafu shida na laana zipo huko.
Mwanza nikuzuri bado uhalisia wa watanzania upo hupo.
inategemea una ujuzi gani na unataka kazi gani?Nice sana je kazi huko zinapatikana kirahisi?
Haha unatukana wenyeji wako mkuu...umenifurahisha kweli!!karibu mwanzaUnajua kupigana kwa sasa sina hiyo nguvu waza unavyotaka majitu ya humu yamekaa yanastress tena yanataka kunyanyasa wenzao unazani tumezaliwa kudanga watu wengine hawajui nini wanachojua nikutafuta kwa jasho zao acha unafiki uende mbinguni unaona humu nisehemu ya kujiuzia sasa kwa nani nakingine ujiuze kwa lipi? mimi naraha zangu nikome wewe kama umezoea kulala na malaya sio mimi mwehu wewe sura mbaya kama hutaki kufa chakubimbi wewe .
Nachukia mtu akiniambia na danga sipendi na sijawahi ndio napata hasira hata mimi kuitwa malayaHaha unatukana wenyeji wako mkuu...umenifurahisha kweli!!karibu mwanza
Oh asante kwa majibu marahisi.inategemea una ujuzi gani na unataka kazi gani?
Oh asante kwa majibu marahisi.
SAUTI ndo wapi kiongozDah mie mwenyeji wa mwanza ,, ila makao mazuri ni nyegezi,, buzuruga, , igoma na hata nyasaka kuna nyumba za nhc ,, ila now jipo huku kwenye jiji lenye mashoga tz nzima napambana na elimu ya chuo kikuu then kama ukitaka info njoo pm nina jamaaa zangu wapp SAUTI
uje umejipanga na ramani zako . sio kila jiji ukifika lazima uwe tajiriST. AUGUSTINO UNIVERSITY IN TANZANIA,,,,, KIPO NYEGEZI MALIMBE ,, HAPO NDO MAIN CAMPUS..... VP??SAUTI ndo wapi kiongoz
undefinedbora aje huku maswa,kuna fursa kibao....ST. AUGUSTINO UNIVERSITY IN TANZANIA,,,,, KIPO NYEGEZI MALIMBE ,, HAPO NDO MAIN CAMPUS..... VP??
Kile ni SAUT sio SAUTI.ST. AUGUSTINO UNIVERSITY IN TANZANIA,,,,, KIPO NYEGEZI MALIMBE ,, HAPO NDO MAIN CAMPUS..... VP??
upo isulilo, sayusayu au buyubi mkuu?undefinedbora aje huku maswa,kuna fursa kibao....