katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
Hamjambo wanajf wote .
Naombeni ushauri kuhusu mwanza.
Nimji mzuri kwamba utaendelea kiuchumi au nitakuja poteza ramani tu .
Naomba ushauri nipo serious nataka niujue kiundani.
Wanaouelewa naombeni majibu mazuri
Napia nyumba zakupanga self inaanza how much .
Ile single self chumba na choo.
Mambo kama hayo.
Nasubiri majibu mazuri kutoka kwenu nakaribu kwakuchangia
Naombeni ushauri kuhusu mwanza.
Nimji mzuri kwamba utaendelea kiuchumi au nitakuja poteza ramani tu .
Naomba ushauri nipo serious nataka niujue kiundani.
Wanaouelewa naombeni majibu mazuri
Napia nyumba zakupanga self inaanza how much .
Ile single self chumba na choo.
Mambo kama hayo.
Nasubiri majibu mazuri kutoka kwenu nakaribu kwakuchangia