carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,721
Mkuu kuna makosa ya kusamehe kabla ya ndoa lakini la usaliti sio kosa la kisamehe..
Kama kakusaliti kabla ya kumuoa unategemea nini miaka 10 baada ya ndoa akishapata mtoto na kuzoea show zako?
Usaliti unaweza kuvumiliwa kidogo baada ya ndoa sababu ya viapo vya shida na raha lakini sasa hivi nakushauri uachane na huyo mwanamke umove on mapemaaa kabla hatujaanza kutoa rambirambi kwa ajili yako.
Mwanamke anayekucheat sasa hivi atacheat tena ..tena inawezekana sasa hivi na hiki ki baridi jamaa yuko anapiga bao la asubuhi halafu wewe unakaa kama ndezi ndezi..
Halafu usidanganywe na machozi ya mwanamke ukahisi eti yuko serious anajuta kwa alichokifanya..
Mwanamke anaweza kulia kisa kapoteza elf 50 ..kwahio machozi sio kigezo cha kujuta...wewe mpige chini uanze upya
Kama kakusaliti kabla ya kumuoa unategemea nini miaka 10 baada ya ndoa akishapata mtoto na kuzoea show zako?
Usaliti unaweza kuvumiliwa kidogo baada ya ndoa sababu ya viapo vya shida na raha lakini sasa hivi nakushauri uachane na huyo mwanamke umove on mapemaaa kabla hatujaanza kutoa rambirambi kwa ajili yako.
Mwanamke anayekucheat sasa hivi atacheat tena ..tena inawezekana sasa hivi na hiki ki baridi jamaa yuko anapiga bao la asubuhi halafu wewe unakaa kama ndezi ndezi..
Halafu usidanganywe na machozi ya mwanamke ukahisi eti yuko serious anajuta kwa alichokifanya..
Mwanamke anaweza kulia kisa kapoteza elf 50 ..kwahio machozi sio kigezo cha kujuta...wewe mpige chini uanze upya