dingihimself JF-Expert Member Jan 9, 2016 9,412 19,436 May 26, 2019 #101 Khantwe said: Vipi, kwani kuna mtu kaibiwa? Click to expand... Hapana uwe na amani
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,115 May 26, 2019 #102 dingimtoto said: Hapana uwe na amani Click to expand... Sawa
S scolastika JF-Expert Member Jan 26, 2019 3,779 5,551 May 26, 2019 #103 Sasa unaumia kingine tukushauri nini we chapa rapa hyo mzee kakuzid kete na ataendelea kukuzid mpaka hapo utakapopata akili
Sasa unaumia kingine tukushauri nini we chapa rapa hyo mzee kakuzid kete na ataendelea kukuzid mpaka hapo utakapopata akili
Arien JF-Expert Member Aug 29, 2017 11,245 11,741 May 27, 2019 #104 usijichanganye kuwa kwenye mahusiano ya mbali tena hata siku moja! labda uwe umeoteshwa na mizimu yenu
usijichanganye kuwa kwenye mahusiano ya mbali tena hata siku moja! labda uwe umeoteshwa na mizimu yenu
Mkushi Mbishi JF-Expert Member Sep 30, 2018 318 513 May 27, 2019 #105 Kama ndo kwanza unabalehe???? Mwanaume kuwa imara acha ubwege