Naombeni ushauri mawazo yananitesa sana.

Sasa unaumia kingine tukushauri nini we chapa rapa hyo mzee kakuzid kete na ataendelea kukuzid mpaka hapo utakapopata akili
 
usijichanganye kuwa kwenye mahusiano ya mbali tena hata siku moja!
labda uwe umeoteshwa na mizimu yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom