muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 59
zantel z fasta,
voda kujiunga na neti inaznguaga.
eatel cjui.
voda kujiunga na neti inaznguaga.
eatel cjui.
CDMA zisizotumia line za kazi gani? labda hizo mpya za 3G zinazouzwa Zenji ila kama ni EVODO ajeachukue kwangu natoa bure.
Sasa mkuu,kuingiza laini au kutoingiza itasaidia nn,mana hzo CDMA za bongo Zantel ni bora kuliko ttcl and sasatel,otherwise bora uwe na modem ya 3G inayotumia laini zote
NAMI NINA MPANGO HUO.Nenda kanunue huawei E303 iwe ya voda au airtel halafu nijulishe nikuchakachulie. Hizi zina uwezo wa 7.2Mbps sawa kaka