Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,134
- 664
Nimeona niombe ushauri kabla ya kununua,naomba unifahamishe kuhusu modem nzuri kwa sasa. Nimeona tangazo la airtel modem humu jf ila sijafahamu kama ni nzuri. Pia nilikuta mahali modem za Safaricom ambazo zimeshaflashiwa na mtu anaweza kutumia line yoyote,zinauzwa 50,000/=. Je,ni modem gani nzuri?