Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

I wish ningekuwa na uwezo wa kutoa msaada wa fedha, ila hata ushauri wangu pengine unaweza kufaa.

Mi nadhan kama uliweza kujisomesha wewe hadi ukamaliza, basi uko na skills na experince kubwa sana ya kutafuta pesa. Nakushauri uachane na shule.

kama uko na skills za kutengeneza pesa, unafanya biashara, umesoma unaupeo unataka kwenda Law school kufanya nini?!

Nakushauri pambania biashara yako, somesha mdogo wako. Focus na mambo mawili tuu kwasasa. Biashara na elimu ya dogo. Achana na law school, itakutoa kwenye main stream.

Kingine usiwe na mategemeo ya ufadhili... kama unataka kumtafutia ufadhili mtafutie ila usiupe kipaumbele cha masoma ya mdogo wako. People will let tou down, utajikuta unapoteza muda tu.
Binafsi sio mtu wa kutegemea watu kaka mana nmetoka mbali sana kuna muda huwa nikimeditate kufikiria nilpotoka huwa nataman kulia, ni vile tu siwezi.

Jukumu la dogo limekuja ghafla sana maana tulishakubaliana na bi mkubwa kuwa atampeleka dogo chuo so ilo suala nilkua nimeshalisahau.

Law school nilkua naipambania ili nijiajiri sababu ukiwa Wakili unapiga sana hela japo mpaka uwe makini na una connection ambayo tayari binafsi nishaitengeneza.
Sasa juzi kuna Boss mmoja nilkutana nae kwenye kiwanja kimoja Pale Warehouse akaahidi kuniajiri kwenye kampuni yake anytime hata sasa nikitaka niende ofisini tuongee ila kwa sharti moja kuwa ntaenda law school kutafuta muhuri [ alinipa namba mpaka sasa sijamtafuta ]

Naomba ushauri wako kwenye hili ili nijue nachanga vp karata zangu mana staki nikianza kumsomesha dogo ifikie katkat akwame kisa mimi nimeyumba kiuchumi[emoji120]
 
Yeye mwenyewe haweki kituo mwisho wa sentensi.[emoji1787][emoji28]
Kosa moja halihalalishi kosa lingine.

Ana haki ya msingi kama kaka kumkosoa mdogo wake anapoona amekosea....anamkosoaje hilo ni jambo lingine.

Btw, huyu kaka mtu anasimama kwenye nafasi ya baba, huo uandishi wa binti kwa baba yake unaonesha utovu wa nidhamu kwa kiwango kikubwa.
 
Mi nikajua labda kamaliza fm 6, alikosa mkopo nk

Div 4.27, kama hana D nne za hesabu, physics, chemistry na biology sidhani kama atachaguliwa,

Huyo dogo arudie mtihani wa form 4 kwanza afute hizo f kwenye cheti
Dogo ana D6 na C moja zikiwemo za masomo uliotaja apo juu mkuu[emoji120]
 
Hiyo hela unayotaka kusoma LAW school sacrifice mdogo wako asome...
 
Binafsi sio mtu wa kutegemea watu kaka mana nmetoka mbali sana kuna muda huwa nikimeditate kufikiria nilpotoka huwa nataman kulia, ni vile tu siwezi.

Jukumu la dogo limekuja ghafla sana maana tulishakubaliana na bi mkubwa kuwa atampeleka dogo chuo so ilo suala nilkua nimeshalisahau.

Law school nilkua naipambania ili nijiajiri sababu ukiwa Wakili unapiga sana hela japo mpaka uwe makini na una connection ambayo tayari binafsi nishaitengeneza.
Sasa juzi kuna Boss mmoja nilkutana nae kwenye kiwanja kimoja Pale Warehouse akaahidi kuniajiri kwenye kampuni yake anytime hata sasa nikitaka niende ofisini tuongee ila kwa sharti moja kuwa ntaenda law school kutafuta muhuri [ alinipa namba mpaka sasa sijamtafuta ]

Naomba ushauri wako kwenye hili ili nijue nachanga vp karata zangu mana staki nikianza kumsomesha dogo ifikie katkat akwame kisa mimi nimeyumba kiuchumi[emoji120]
Kama ndoto zako unaziona zipo kwenye uwakili then the way to go ni kumsubirisha mdogo wako. Kwanza ye mwenyewe anapaswa awe mwelewa of what you guys are going through, mkalishe chini mpe ABCs. Akupe nafasi kwanza wewe upambanie shule yako, si ni mwaka mmoja tu? Ukihitimisha shule yako ya sheria nae aende. Sidhan kama umri wake utakuwa umeenda kiasi cha kushindwa kuvumilia mwaka mmoja. Watu tulisugua benchi kitaa miaka mi2 ndo tukaresume na shule na bado tukafanya vyema tu.

Kwakuwa umesena unaconnection nzuri kwenye masuala na uwakili ila unahitaji hiyo shule ya sheria kuweka mambo sawa, then ningekuwa mimi ningefanya hicho nilichokiandika hapo juu.
 
Kama ndoto zako unaziona zipo kwenye uwakili then the way to go ni kumsubirisha mdogo wako. Kwanza ye mwenyewe anapaswa awe mwelewa of what you guys are going through, mkalishe chini mpe ABCs. Akupe nafasi kwanza wewe upambanie shule yako, si ni mwaka mmoja tu? Ukihitimisha shule yako ya sheria nae aende. Sidhan kama umri wake utakuwa umeenda kiasi cha kushindwa kuvumilia mwaka mmoja. Watu tulisugua benchi kitaa miaka mi2 ndo tukaresume na shule na bado tukafanya vyema tu.

Kwakuwa umesena unaconnection nzuri kwenye masuala na uwakili ila unahitaji hiyo shule ya sheria kuweka mambo sawa, then ningekuwa mimi ningefanya hicho nilichokiandika hapo juu.
Asante sana mkuu nimekulewa sana tena sana[emoji120]
Tatizo la law school ni kama betting, unaweza toka batch ya kwanza, ukabambikiziwa supplementaries za kutosha au kudisqualify
 
Kwa upande wa mama yangu tumezaliwa wawili tu yaani mimi na huyu mdogo wangu ila mama na mzee walishatangulia mbele za haki [mama kafariki nikiwa na miaka mi3 na mzee nikiwa na miaka 13 ]

huyu mdogo wangu Yeye yupo nyumbani anakaa na mama mkubwa ( step mother )

Sasa mimi ni Juzi tu nimemaliza chuo kwa mbinde sana mana nmejitegemea kila kitu miaka yote mitatu mpaka namaliza, sikuwa na wakumwelekezea shida zangu zozote ingawa kwa upande wa Baba tupo watoto 16 na sisi ndio wa mwisho na hawa ndugu zetu wote kila mtu ni mambo safi kweli ( kweli kutoa ni moyo 🥲)

Sasa huyu mdogo wangu kanitumia Hii meseji nimepatwa na stress sana wakati ni Juzi tu nmeongea na huyu mama mkubwa wangu tukakubaliana kuwa atampeleka mdogo wangu chuo ila ntakua nampa back up kwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya apa na pale.

Mimi saiv ndo nmeanza biashara bado hata sijafikia ile level ambayo nimejiwekea malengo nifikie lakini nakumbana na majukumu mazito kama haya.

Binafsi apa nilkua napambana nipate hela niingie Law school mwezi July lakini izo dalili naona kabisa zikififia🥲

Kinachoniuma ni mdogo wangu af ni mtoto wa kike na tumezaliwa wawili tu, Naombeni ushauri nifanye nini ili nijue namjibu vp huyu mdogo wangu in a positive way [emoji120]

View attachment 2469632
Kama una hela yoyote mlipie hata kama ni mtaji nakuhakikishia hutafeli popote. Utakuja kuniambia
 
Dah sema ni mtu na mtu kaka hakuna haja ya kushangaana ila mim madogo zangu wanaenjoy kama kaka yao sinaga noma kabisa labda kutokana na malezi pia tuliyolelewa yaan sinaga shida
Unawalemaza vibaya. Wakosoe ili wabadirike taratibu, ujue mazoea ni kazi.
 
Huyo Ni ndggu yako jitoe kwaajili yakke...uusiende law school badala yake npeleke mdgo wako chuo!!!!
 
Asante sana mkuu nimekulewa sana tena sana[emoji120]
Tatizo la law school ni kama betting, unaweza toka batch ya kwanza, ukabambikiziwa supplementaries za kutosha au kudisqualify
Ndo maana mwanzo nilikwambia kama unabiashara inakuingizia pesa, uipambanie uachane na law school umpeleke dogo akasome. U focus na hayo mambo mawili tuu. Turns out ndoto zako zipo kwenye uwakili. Sasa hapo ndo mwanaume inatakiwa uchukue maamuzi magumu. Sisi tunashauri tuu. End of the day we ndo final descision maker.

iLa kama unauhakika law school itakufungulia michongo, nenda kasome. Liwalo na liwe. Mdogo wako anaweza kusubiri na Mungu atakuwa nawewe. Nauhakika utafanikisha.
 
Ndo maana mwanzo nilikwambia kama unabiashara inakuingizia pesa, uipambanie uachane na law school umpeleke dogo akasome. U focus na hayo mambo mawili tuu. Turns out ndoto zako zipo kwenye uwakili. Sasa hapo ndo mwanaume inatakiwa uchukue maamuzi magumu. Sisi tunashauri tuu. End of the day we ndo final descision maker.

iLa kama unauhakika law school itakufungulia michongo, nenda kasome. Liwalo na liwe. Mdogo wako anaweza kusubiri na Mungu atakuwa nawewe. Nauhakika utafanikisha.
Say no more, be blessed [emoji120][emoji120]
 
Dogo ana D6 na C moja zikiwemo za masomo uliotaja apo juu mkuu[emoji120]
Sawa, hapo sasa inabidi uchungulie ada za hivyo vyuo uone kama utaweza ama la, ukiona hauwezi kwa sasa basi dogo mtafutie sehemu akae huku wewe kwenye bussines zako ukidunduliza, hata baada ya mwake anaweza tuu kwenda
 
Binafsi sio mtu wa kutegemea watu kaka mana nmetoka mbali sana kuna muda huwa nikimeditate kufikiria nilpotoka huwa nataman kulia, ni vile tu siwezi.

Jukumu la dogo limekuja ghafla sana maana tulishakubaliana na bi mkubwa kuwa atampeleka dogo chuo so ilo suala nilkua nimeshalisahau.

Law school nilkua naipambania ili nijiajiri sababu ukiwa Wakili unapiga sana hela japo mpaka uwe makini na una connection ambayo tayari binafsi nishaitengeneza.
Sasa juzi kuna Boss mmoja nilkutana nae kwenye kiwanja kimoja Pale Warehouse akaahidi kuniajiri kwenye kampuni yake anytime hata sasa nikitaka niende ofisini tuongee ila kwa sharti moja kuwa ntaenda law school kutafuta muhuri [ alinipa namba mpaka sasa sijamtafuta ]

Naomba ushauri wako kwenye hili ili nijue nachanga vp karata zangu mana staki nikianza kumsomesha dogo ifikie katkat akwame kisa mimi nimeyumba kiuchumi[emoji120]
Nakushaur kitu kimoja Kama hujajipanga tafadhali mwache utampeleka hta mwakan usijifos kufanya usichoweza other wise uwe unakimbia wajibu kijanja...
Pia mtu aliyepata IV atakuwa na D ya physics kweli kwenda unurse...usije mpeleka vyuo vya kigarasa
 
Asante kwa ushauri mkuu ila kuhusu hii biashara nayofanya mdogo wangu haiwezi maana foundation yake nimeijenga kwa kunizunguka mimi [hope unanielewa]

Kuna biashara nilkua nataka kuanzisha mwezi February ila nilkua nataka kumwachia mchumba wangu ndo aiendeshe na tushapanga kila kitu bado tu location aanze kazi.

Sasa nipo njia panda maana kubadili gia hewani kumuweka dogo Kwenye biashara badala ya mchumba ni kizungumkuti.
Yaani umuachie mchumba wako biashara harafu wewe uende masomoni...unatafuta kilio cha kifo cha mende.
 
Yaani umuachie mchumba wako biashara harafu wewe uende masomoni...unatafuta kilio cha kifo cha mende.
Siwez kuelezea jinsi tunavopendana na huyu mtoto wa mama mkwe mana ntakua naenda nje ya mada ila suala la kunipiga tukio ni never.

Kwao ndugu zake wote wananijua isipokua kwetu, mdogo wangu tu anamjua.

It is more than love itself [emoji3590][emoji817][emoji3590]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom