Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

Naombeni ushauri kuhusu huyu mdogo wangu

Mimi na mdogo wangu tunapendana sana mkuu ila mi sio mtu wa kuendekeza upuuzi, nakuchana on the spot maana ana mwandiko wa kitoto sana ila kila nikimwambia haelewi.

Hawa watoto wa kike ukiwalea kama yai mwisho wa siku utaskia kabebeshwa mimba na jamaa hata haeleweki so kwa sasa anivumilie tu na tabia zangu mpaka atakapoweza kujitegemea mwenyewe [emoji120]
Amina
 
Kwa upande wa mama yangu tumezaliwa wawili tu yaani mimi na huyu mdogo wangu ila mama na mzee walishatangulia mbele za haki [mama kafariki nikiwa na miaka mi3 na mzee nikiwa na miaka 13 ]

huyu mdogo wangu Yeye yupo nyumbani anakaa na mama mkubwa ( step mother )

Sasa mimi ni Juzi tu nimemaliza chuo kwa mbinde sana mana nmejitegemea kila kitu miaka yote mitatu mpaka namaliza, sikuwa na wakumwelekezea shida zangu zozote ingawa kwa upande wa Baba tupo watoto 16 na sisi ndio wa mwisho na hawa ndugu zetu wote kila mtu ni mambo safi kweli ( kweli kutoa ni moyo 🥲)

Sasa huyu mdogo wangu kanitumia Hii meseji nimepatwa na stress sana wakati ni Juzi tu nmeongea na huyu mama mkubwa wangu tukakubaliana kuwa atampeleka mdogo wangu chuo ila ntakua nampa back up kwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya apa na pale.

Mimi saiv ndo nmeanza biashara bado hata sijafikia ile level ambayo nimejiwekea malengo nifikie lakini nakumbana na majukumu mazito kama haya.

Binafsi apa nilkua napambana nipate hela niingie Law school mwezi July lakini izo dalili naona kabisa zikififia🥲

Kinachoniuma ni mdogo wangu af ni mtoto wa kike na tumezaliwa wawili tu, Naombeni ushauri nifanye nini ili nijue namjibu vp huyu mdogo wangu in a positive way [emoji120]

View attachment 2469632
Pole mkuu na changamoto za Maisha

Sijui umri wako ila naimani unaweza kupambana na changamoto Kwanza kwa sababu ni Mwanaume lakini pia kwa sababu ni Msomi

Uanaume utakufanya upambane kadri unavoweza bila kukata tamaa na bila kijari aina ya kazi na Elimu yako itakusaidia kubadirisha changamoto kuwa fursa

Huo ni mzigo wako kwa sasa na ata ulaumu ndugu ni kazi bure maana haitabadirisha chochote, me pia ni muhanga wa njia ambayo anataka kupita mdogo wako

Mimi pia alienisaidia ni Sister wangu tu na sio Mzee wala ndugu wa Mzee japokuwa walikuwa wapo njema kiuchumi, kuna siku unakuta nimefukuzwa shule Ada, inabidi nirudi home kutoa taarifa kisha sister anaingia ndani anajifungia analia sana

Kuna muda hadi nikawa najichanganya kitaa kusaka deal ili angalau nipate chochote cha kuongezea nguvu ila akijua anamaindi sana, hakutaka kabisa niwe mtu tofauti na yule ambae alikuwa katika Akili yake

Alikuwa anapenda me nisome ili nisije kuwa sawa na vijana wengine ambao wapo pale mtaani ila alikuwa na changamoto ya kipato na bado haikumkatisha tamaa bali ilimkomaza kiakili na kujua ni namna gani apambane kuongeza kipato ili kukidhi mahitaji

Bora yako una deal na mtu mzima ambae anajielewa na unaweza kumweka chini na kumpa ukweli wa mambo ulivo,ukamwambia ni jinsi gani unajinyima ili yeye awe sehemu Fulani, me sister wangu amenichukua nikiwa na darasa la 4 hadi university

Sasa wewe unamzidi Sister wangu vitu vikubwa vitatu, Kwanza Jinsia lakini pia Elimu na mwisho kabisa una njia rasmi ya kukuingizia kipato chako halali ata kama ni ndogo ila utaongeza kulingana na Elimu yako

Hivo we anzia hapo hapo ulipo usidhani kuna siku utaamka na hiyo hela unayolia kuwa huna, Anza Kwa kumfanyia maombi katika vyuo vizuri, mengine yatajulikana huko huko mbele ya safari

Kama ana ufaulu mzuri anaweza kupata Government support na ukajikuta umepunguza sana mzigo ila hilo usiliweke sana kichwani, we jiandae tu kulipa Ada na uzuri Ada zinalipwa kwa awamu hivo kama kweli umeamua ni ngumu kushindwa kabisa

Nyongeza, me pia sipendi sana kuchat na mtu ambae anaandika kama huyo mdogo wako, na waga sijibu SMS ya mwandiko huo unless otherwise nimeambiwa habari ya Ugonjwa

All the best
 
Pole sana
Kanisa katholic wanatoa ufadhili kwa watoto yatima upande wa ada naomba nenda utapata msaada

Mungu awatie nguvu kwa kweli
 
Pole mkuu na changamoto za Maisha

Sijui umri wako ila naimani unaweza kupambana na changamoto Kwanza kwa sababu ni Mwanaume lakini pia kwa sababu ni Msomi

Uanaume utakufanya upambane kadri unavoweza bila kukata tamaa na bila kijari aina ya kazi na Elimu yako itakusaidia kubadirisha changamoto kuwa fursa

Huo ni mzigo wako kwa sasa na ata ulaumu ndugu ni kazi bure maana haitabadirisha chochote, me pia ni muhanga wa njia ambayo anataka kupita mdogo wako

Mimi pia alienisaidia ni Sister wangu tu na sio Mzee wala ndugu wa Mzee japokuwa walikuwa wapo njema kiuchumi, kuna siku unakuta nimefukuzwa shule Ada, inabidi nirudi home kutoa taarifa kisha sister anaingia ndani anajifungia analia sana

Kuna muda hadi nikawa najichanganya kitaa kusaka deal ili angalau nipate chochote cha kuongezea nguvu ila akijua anamaindi sana, hakutaka kabisa niwe mtu tofauti na yule ambae alikuwa katika Akili yake

Alikuwa anapenda me nisome ili nisije kuwa sawa na vijana wengine ambao wapo pale mtaani ila alikuwa na changamoto ya kipato na bado haikumkatisha tamaa bali ilimkomaza kiakili na kujua ni namna gani apambane kuongeza kipato ili kukidhi mahitaji

Bora yako una deal na mtu mzima ambae anajielewa na unaweza kumweka chini na kumpa ukweli wa mambo ulivo,ukamwambia ni jinsi gani unajinyima ili yeye awe sehemu Fulani, me sister wangu amenichukua nikiwa na darasa la 4 hadi university

Sasa wewe unamzidi Sister wangu vitu vikubwa vitatu, Kwanza Jinsia lakini pia Elimu na mwisho kabisa una njia rasmi ya kukuingizia kipato chako halali ata kama ni ndogo ila utaongeza kulingana na Elimu yako

Hivo we anzia hapo hapo ulipo usidhani kuna siku utaamka na hiyo hela unayolia kuwa huna, Anza Kwa kumfanyia maombi katika vyuo vizuri, mengine yatajulikana huko huko mbele ya safari

Kama ana ufaulu mzuri anaweza kupata Government support na ukajikuta umepunguza sana mzigo ila hilo usiliweke sana kichwani, we jiandae tu kulipa Ada na uzuri Ada zinalipwa kwa awamu hivo kama kweli umeamua ni ngumu kushindwa kabisa

Nyongeza, me pia sipendi sana kuchat na mtu ambae anaandika kama huyo mdogo wako, na waga sijibu SMS ya mwandiko huo unless otherwise nimeambiwa habari ya Ugonjwa

All the best
Pole sana kwa uliyoyapitia mkuu binadamu tunatoka mbali sana, usione mtu kafanikiwa [emoji119].

Nimesoma na nimekuelewa sana na itoshe tu kusema asante sana kwa ushauri na muda wako [emoji120][emoji120]
 
Mimi sina ufahamu na mambo ya afya mkuu ila anataka akasomee nursing from the scratch mana ndo kazi anayoipenda[emoji120]
Ishu hapo sio uzoefu wa mambo ya afya, ishu ni level gani ya chuo anayoenda na ana plan kwenda chuo gani, baada ya hapo ndio utapokea ushauri kulingana na hali halisi.
 
Hata kama tumeumbiwa shida mimi bado mdogo jamani kubebeshwa hili jukumu ni msalaba mzito.

Biashara ikue, Niingie Law school July plus makandokando mengine na mdogo wangu tena jamani, tena Chuo wakati Bi Mkubwa anao uwezo wa kusomesha.!!

Whyyyyyyyyyyyyy me [emoji3064]
Aaaaah kumbe mama anauwezo wa kusomesha ila hapo ibidi ukae na mama uongee nae vizuri
 
Pole sana
Kanisa katholic wanatoa ufadhili kwa watoto yatima upande wa ada naomba nenda utapata msaada

Mungu awatie nguvu kwa kweli
Asante sana[emoji120]

Mimi na mdogo wangu ni wasabato, vp anaweza kufadhiliwa pasipo sharti lolote la kubadili dhehebu.
 
Kwa upande wa mama yangu tumezaliwa wawili tu yaani mimi na huyu mdogo wangu ila mama na mzee walishatangulia mbele za haki [mama kafariki nikiwa na miaka mi3 na mzee nikiwa na miaka 13 ]

huyu mdogo wangu Yeye yupo nyumbani anakaa na mama mkubwa ( step mother )

Sasa mimi ni Juzi tu nimemaliza chuo kwa mbinde sana mana nmejitegemea kila kitu miaka yote mitatu mpaka namaliza, sikuwa na wakumwelekezea shida zangu zozote ingawa kwa upande wa Baba tupo watoto 16 na sisi ndio wa mwisho na hawa ndugu zetu wote kila mtu ni mambo safi kweli ( kweli kutoa ni moyo 🥲)

Sasa huyu mdogo wangu kanitumia Hii meseji nimepatwa na stress sana wakati ni Juzi tu nmeongea na huyu mama mkubwa wangu tukakubaliana kuwa atampeleka mdogo wangu chuo ila ntakua nampa back up kwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya apa na pale.

Mimi saiv ndo nmeanza biashara bado hata sijafikia ile level ambayo nimejiwekea malengo nifikie lakini nakumbana na majukumu mazito kama haya.

Binafsi apa nilkua napambana nipate hela niingie Law school mwezi July lakini izo dalili naona kabisa zikififia🥲

Kinachoniuma ni mdogo wangu af ni mtoto wa kike na tumezaliwa wawili tu, Naombeni ushauri nifanye nini ili nijue namjibu vp huyu mdogo wangu in a positive way [emoji120]

View attachment 2469632
chuo gani kwa sasa hivi mkuu
anyway nmb wanatoa ufadhili wa bachelor degree, check nao
 
Hawabagui nenda kajieleze ndugu
Mungu atawasimamia

Na ikishindikana ni bora mdogo wako umfungilie genge kwa miaka miwili atainuka na mtapata njia sahihi ya yeye kusoma
Asante sana[emoji120]

Mimi na mdogo wangu ni wasabato, vp anaweza kufadhiliwa pasipo sharti lolote la kubadili dhehebu.
 
Ishu hapo sio uzoefu wa mambo ya afya, ishu ni level gani ya chuo anayoenda na ana plan kwenda chuo gani, baada ya hapo ndio utapokea ushauri kulingana na hali halisi.
Mimi niliyeunganisha primary - secondary - Advanced - university ni ngumu mno kuelewa izo level zingine mkuu naomba unielewe.

Dogo kamaliza form 4 ila matokeo yake hayakua mazuri sana ( dvsn 4.27 ) so nachojua ni kuwa inatakiwa aanze certificate, diploma then degree japo huwa naskia wengine wanasoma NTA level ngap sjui uko.
 
Hawabagui nenda kajieleze ndugu
Mungu atawasimamia

Na ikishindikana ni bora mdogo wako umfungilie genge kwa miaka miwili atainuka na mtapata njia sahihi ya yeye kusoma
Asante sana mkuu ntalifanyia kazi[emoji120][emoji120]
 
Pole sana kwa uliyoyapitia mkuu binadamu tunatoka mbali sana, usione mtu kafanikiwa [emoji119].

Nimesoma na nimekuelewa sana na itoshe tu kusema asante sana kwa ushauri na muda wako [emoji120][emoji120]
Pamoja Mkuu
 
chuo gani kwa sasa hivi mkuu
anyway nmb wanatoa ufadhili wa bachelor degree, check nao
Inatakiwa aanze certificate mkuu, mpaka anafika degree ntakua nimechoka sijitambui mana mambo ya vyuo nayajua mno jinsi ilivo gharama ukizingatia ni mtoto wa kike🥲
 
Brother fanya jambo la kiutu uzima dogo aende chuo coz umeshasema bi mkubwa uwezo anao ila hajataka kwahiyo ni kama anaamua kukulipisha fidia kwa mdogo wako kumlea...ila kama una chochote kitu mpambanie mdogo wako aende chuo, Mwenyezi Mungu atakufungulia njia ya mafanikio yako yote.
 
Hata kama tumeumbiwa shida mimi bado mdogo jamani kubebeshwa hili jukumu ni msalaba mzito.

Biashara ikue, Niingie Law school July plus makandokando mengine na mdogo wangu tena jamani, tena Chuo wakati Bi Mkubwa anao uwezo wa kusomesha.!!

Whyyyyyyyyyyyyy me [emoji3064]
I wish ningekuwa na uwezo wa kutoa msaada wa fedha, ila hata ushauri wangu pengine unaweza kufaa.

Mi nadhan kama uliweza kujisomesha wewe hadi ukamaliza, basi uko na skills na experince kubwa sana ya kutafuta pesa. Nakushauri uachane na shule.

kama uko na skills za kutengeneza pesa, unafanya biashara, umesoma unaupeo unataka kwenda Law school kufanya nini?!

Nakushauri pambania biashara yako, somesha mdogo wako. Focus na mambo mawili tuu kwasasa. Biashara na elimu ya dogo. Achana na law school, itakutoa kwenye main stream.

Kingine usiwe na mategemeo ya ufadhili... kama unataka kumtafutia ufadhili mtafutie ila usiupe kipaumbele cha masoma ya mdogo wako. People will let tou down, utajikuta unapoteza muda tu.
 
Brother fanya jambo la kiutu uzima dogo aende chuo coz umeshasema bi mkubwa uwezo anao ila hajataka kwahiyo ni kama anaamua kukulipisha fidia kwa mdogo wako kumlea...ila kama una chochote kitu mpambanie mdogo wako aende chuo, Mwenyezi Mungu atakufungulia njia ya mafanikio yako yote.
Amen [emoji120]
asante kwa ushauri mkuu, barikiwa sana.
 
Mimi niliyeunganisha primary - secondary - Advanced - university ni ngumu mno kuelewa izo level zingine mkuu naomba unielewe.

Dogo kamaliza form 4 ila matokeo yake hayakua mazuri sana ( dvsn 4.27 ) so nachojua ni kuwa inatakiwa aanze certificate, diploma then degree japo huwa naskia wengine wanasoma NTA level ngap sjui uko.
Mi nikajua labda kamaliza fm 6, alikosa mkopo nk

Div 4.27, kama hana D nne za hesabu, physics, chemistry na biology sidhani kama atachaguliwa,

Huyo dogo arudie mtihani wa form 4 kwanza afute hizo f kwenye cheti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom