Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Wanawake hawaelewekagi
Unakuta hapo unadhan hakupendi alf baadaye umepata mwingn ndio anakuja kukuambia huku amechelewa.
 
1781686153568.jpeg
 
Mbona nilileta sorry nilikusahau, kwenye uzi wa Usiku wa Manane, Win one aliniuliza

Ni hivi "Bibie alijifanya amelala hakunitafuta ,wakati nilimwambia anishtue,so nami nikapiga mikausho mikali wala sikumcheki"
Khaa vijana mna ego😅

Haya kakate kiu yangu selfika🕺🏻
 
Khaa vijana mna ego😅

Haya kakate kiu yangu selfika🕺🏻
Hapana sio ego ila sometime tunafanya hivi ili mjue kwamba nasi tuna mambo mengine ya kufanya,maana mkijua tumefocus kwenu huwa mnazidi kutuzingua

Last time kuna shori mmoja najua kabisa ananielewa ila analeta za kuleta,nikamwomba namba za simu akasema eti haja zikariri kichwani na kuahidi atanipa kesho, sasa kwani nimemuuliza tena? Namuona aanapitapita ofisini kwetu akitarajia nitamshobokea

My dear tuna mambo mengi ya kufanya kama ambavyo nanyi mnayo ya kufanya
 
Kuna dada nampenda sana, kila nikimueleza anakaa kimya na kujing’atang’ata tu. Je, ananipenda au? Nipeni ushauri wakuu.

NAWASILISHA"
Anakupenda huyo ila anaona aibu kukujibu...pambana Bikra huyo ndo maana anajing'atang'ata.
 
Ngoja tuone mana nitamng'ang'ania mpaka anikome dadeki siwez kua na mawazo mwenzang akawa na furaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom