Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 30,239
- 87,539
Sifanyi hiyo kazi ya kutawaza kuku miguu!Sikio la muazini na mdomo wa mnadi adhana ishalia nenda kaswali
Sifanyi hiyo kazi ya kutawaza kuku miguu!Sikio la muazini na mdomo wa mnadi adhana ishalia nenda kaswali
Khee! Lakini ni kawaida kwa mtoto wa kike kuleta pozi mkuu usikaze sana! Tukiwa walaini tena mnatusema loh!Hapana sio ego ila sometime tunafanya hivi ili mjue kwamba nasi tuna mambo mengine ya kufanya,maana mkijua tumefocus kwetu huwa mnazidi kutuzingua
Last time kuna shori mmoja najua kabisa ananielewa ila analeta za kuleta,nikamwomba namba za simu akasema eti haja zikariri kichwani na kuahidi atanipa kesho, sasa kwani nimemuuliza tena? Namuona aanapitapita ofisini kwetu akitarajia nitamshobokea
My dear tuna mambo mengi ya kufanya kama ambavyo nanyi mnayo ya kufanya
Hahah mimi ntampiga kelebu moja aangukie huko! Sina mzaha kabisa 😁Msaidie kijana mapenzi yamemchanganya
Nikuwa namquote mleta mada kipenzi usijisikie vebayaSifanyi hiyo kazi ya kutawaza kuku miguu!
Una point my dear naelewa hilo,ila shida unaleta pozi kwa mtu mwenye option nyingi. Now naelewa kwanini wanawake sometime wanazingua sana,ni kwasababu anafuatiliwa na wanaume kibao,kwahiyo anajua kabisa ukija kinyonge kuna mwenzako anakuja kibabe,kwahiyo yupo tayar kwa lolote ubakie au usepeKhee! Lakini ni kawaida kwa mtoto wa kike kuleta pozi mkuu usikaze sana! Tukiwa walaini tena mnatusema loh!
Kumbe au ni prody lako?Nikuwa namquote mleta mada kipenzi usijisikie vebaya
Umenikumbusha enzi zile nina miaka 17 kama wewe! Hakika utoto raha sana. Ilikuwa kipindi kile binti hata akinichekea tu, nilihisi ananipenda.Kuna dada nampenda sana, kila nikimueleza anakaa kimya na kujing’atang’ata tu. Je, ananipenda au? Nipeni ushauri wakuu.
NAWASILISHA"
Duhh! Mapenzi ya siku hizi yana vituko!Una point my dear naelewa hilo,ila shida unaleta pozi kwa mtu mwenye option nyingi. Now naelewa kwanini wanawake sometime wanazingua sana,ni kwasababu anafuatiliwa na wanaume kibao,kwahiyo anajua kabisa ukija kinyonge kuna mwenzako anakuja kibabe,kwahiyo yupo tayar kwa lolote ubakie au usepe
Sasa ndio mazingira ambayo ninayo sasa,option zipo kibao kwahiyo ukileta sana shobo wala sijali nasonga mbele
We nayeKumbe au ni prody lako?
NimekuwajeWe naye
Unamind vitu vodogoNimekuwaje
Duh nitakuwa kichaa kumbe! Sina muda wa kumind watu nisowajua!Unamind vitu vodogo
NopDuh nitakuwa kichaa kumbe! Sina muda wa kumind watu nisowajua!
Watakuja@miminimkulimaakachekasana@zee la madawa