Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Huyu dogo namfahamu huwa anatuuzia maji hapa mtaani na ninavyosikia kuna binti anampenda mtoto wa madam mmoja hivi sema ndo hivyo mwanamke hawezi kukupenda kama hujajipata bado. We tafuta hela utawapata wazuri zaidi yake
 
Asante, mbona hujaleta mrejesho wa jana sasa rafiki😁
Mbona nilileta sorry nilikusahau, kwenye uzi wa Usiku wa Manane, Win one aliniuliza

Ni hivi "Bibie alijifanya amelala hakunitafuta ,wakati nilimwambia anishtue,so nami nikapiga mikausho mikali wala sikumcheki"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom