Naombeni ushauri: Ananiacha kisa sijui kusex

Naombeni ushauri: Ananiacha kisa sijui kusex

unaposema "unapenda sana" hata kabla hujajua utamu wake kitandani inatuwekea shaka juu ya upendo wako, angalia usije kufeli completelly utakapokojozwa mikojo mizito.

jisomee hata vijarida na vichapo vya kimapenzi utaelewa kitu.
 
mtoa mada hueleweki kabisa. umedai mpenzy wako kakuambia hujui kusex na wakati huo huo unadai eti hamjawahi kusex kwa kuwa weye ni bikra na unataka mcheck afya kwanza. sasa huko kutojua kusex alikujulia wapi wakati hujawahi kumpa? hujui kutunga hadithi wewe! muone shigongo akufundishe.
 
KATOTY nitumie pm sasa hivi.

Zilivyo nadra hizo nanii...nitakufunza bure tu...usichelewe tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
mtoa mada hueleweki kabisa. umedai mpenzy wako kakuambia hujui kusex na wakati huo huo unadai eti hamjawahi kusex kwa kuwa weye ni bikra na unataka mcheck afya kwanza. sasa huko kutojua kusex alikujulia wapi wakati hujawahi kumpa? hujui kutunga hadithi wewe! muone shigongo akufundishe.

umeonaeee yan ukianza kumsoma utaona anavo tutengeneza hana chabikra wala nn labda bikra ya skio nenda kjipnge uje tena ...stori yako ipo mbele nyuma
 
How mkuu?
Sorry mkuu, ila naamini mtu akibadili username, labda hataki kuwa yule wa zamani au hataki mtu fulani amtambue, hivyo nashangaa kuona unajitambulisha tena kwa jina la zamani..Nadhani bora urudie jina lako la zamani.
 
bikira inalalamikiwa jukwaani.... hii haijatulia hii..
 
Back
Top Bottom