TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??
Hajaomba ushauri juu ya hili.
Asante.
But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??
Mkeo kakuruhusu kuwa na mchepuko, hakuna ubaya mbele yake, kwakuwa huyo pacha yupo single.Mkuu mi sikuona ubaya wowote kwa huyu Binti hajaolewa
Hapo wa kumalizana nae n huyo mchepuko. Kule unakubali is your side chick lakini mbele ya mkeo unakataaa huwajua kabisa.
But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??
Kwanza unatakiwa utambue kwamba zinaa ni uchafuWanajukwaa heri ya kumaliza mwaka 2021 na Mungu awajalie tuweze kuona mwaka 2022.
Wakuu nisiwachoshe mimi nina mchepuko wangu ambao umenipenda kupindukia hata sijui nieleze vipi na huu ni mwaka wa sita tuko kwenye mahusiano.
Huyu mchepuko wangu wako mapacha tena wa kufanana na wamefanana kweli ila mwenzake ameolewa.
Sasa Kuna wahuni waliniona niko na mtu wangu na inaonesha huyu mhuni hawawajui vizuri hawa pacha na akapenyeza habari kwa jamaa kuwa mkeo anatoka na mhakiki. Jamaa amemaindi balaa timbwili lake asha ngedele Cha mtoto.
Nimetumia njia za kidplomasia kutatua huu mgogoro ikashindikana.
Shemeji yake ambaye ni mchepuko wangu amefika mbele ya kikao kueleza ukweli kuwa yeye ana mahusiano na Mimi jamaa haelewi na ana mpango wa kuja kuonana na mke wangu.
Naombeni ushauri akija nifanye nini?
Nashukuru MkuuKwa kuwa ulishakiri huko nje usibadili msimamo kubali ni kweli ni mchepuko wako kisha omba msamaha kwa mkeo .Hatuyaondoi makosa kwa kuzuga bali kuyakiri na kuahidi kuacha toka moyoni hapo ndipo tunafanikiwa.We mwombe Mungu na mwambie umeamua kuacha na hivyo upo tayari kukiri hilo mbele za watu hao na itakuwa imeishia hapo ,suala la utaonekanaje hilo ndilo hutakiwi kulipa kipaumbele maana heri ya aliyebadili mwenendo wake kuwa chanya kuliko asiyekiri huku akizama dhambini.
Story za kitoto hizi unaanza mwaka kwa utoto huu, wewe na huyo mme mwenzio wote bado mnaakili za kitotoWanajukwaa heri ya kumaliza mwaka 2021 na Mungu awajalie tuweze kuona mwaka 2022.
Wakuu nisiwachoshe mimi nina mchepuko wangu ambao umenipenda kupindukia hata sijui nieleze vipi na huu ni mwaka wa sita tuko kwenye mahusiano.
Huyu mchepuko wangu wako mapacha tena wa kufanana na wamefanana kweli ila mwenzake ameolewa.
Sasa Kuna wahuni waliniona niko na mtu wangu na inaonesha huyu mhuni hawawajui vizuri hawa pacha na akapenyeza habari kwa jamaa kuwa mkeo anatoka na mhakiki. Jamaa amemaindi balaa timbwili lake asha ngedele Cha mtoto.
Nimetumia njia za kidplomasia kutatua huu mgogoro ikashindikana.
Shemeji yake ambaye ni mchepuko wangu amefika mbele ya kikao kueleza ukweli kuwa yeye ana mahusiano na Mimi jamaa haelewi na ana mpango wa kuja kuonana na mke wangu.
Naombeni ushauri akija nifanye nini?
Hivi wewe ukiambiwa mkeo umemuona na mtu fulani utashinikiza aje kujitetea mbele yako?Kivipi mkuu?
HahahahahaCode for gentlemen:
Kamwe usikubali kabisa kukiri kosa la kuchepuka.
Hata Kama umekutwa live katikati ya mapaja ya mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi kuona maharage yaliyo motoni yametulia? Ndivyo tulivyo wanaumeHapo wa kumalizana nae n huyo mchepuko. Kule unakubali is your side chick lakini mbele ya mkeo unakataaa huwajua kabisa.
But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??
Acha wanawake wamalizane wenyeweWanajukwaa heri ya kumaliza mwaka 2021 na Mungu awajalie tuweze kuona mwaka 2022.
Wakuu nisiwachoshe mimi nina mchepuko wangu ambao umenipenda kupindukia hata sijui nieleze vipi na huu ni mwaka wa sita tuko kwenye mahusiano.
Huyu mchepuko wangu wako mapacha tena wa kufanana na wamefanana kweli ila mwenzake ameolewa.
Sasa Kuna wahuni waliniona niko na mtu wangu na inaonesha huyu mhuni hawawajui vizuri hawa pacha na akapenyeza habari kwa jamaa kuwa mkeo anatoka na mhakiki. Jamaa amemaindi balaa timbwili lake asha ngedele Cha mtoto.
Nimetumia njia za kidplomasia kutatua huu mgogoro ikashindikana.
Shemeji yake ambaye ni mchepuko wangu amefika mbele ya kikao kueleza ukweli kuwa yeye ana mahusiano na Mimi jamaa haelewi na ana mpango wa kuja kuonana na mke wangu.
Naombeni ushauri akija nifanye nini?