Naombeni ushauri wa nini cha kufanya

Jumakwamba

New Member
May 18, 2024
2
7
Habari, mimi nimeoa nina mke na nimezaa nae watoto wa nne, mke wangu ni mzaliwa wa Tanga, kuna mistake ambayo nilifanya nilijikuta natoka nje ya ndoa yangu na kuanzisha mahusiano na binti mwingine (mchepuko) ambae ni mzaliwa wa kondoa (mrangi) na huyu mchepuko pia nimezaa nae watoto wawili. Mke wangu amegundua kuwa nimechepuka na nimezaa nje ya ndoa yangu, furaha imetoweka ndani ya nyumba na mke wangu anataka nimpe talaka tuachane. Kiukweli nashindwa kumuacha mke wangu kwasababu ni mwanamke mwenye kujielewa sana, mpambanaji na pia ndie nilieanza nae tangu sina kitu mpaka Leo hii mungu kajaalia nina maisha mazuri

Niliteleza kuchepuka na kuanzisha mahusiano na huyu mwanamke mwingine wa kirangi na kuzaa nae

Kitu sahihi ambacho nimewaza au naona ni sahihi ili kunusuru ndoa yangu ni kuachana na huu mchepuko ili nibaki na mke wangu tulee watoto wetu kwasababu huyu mchepuko kwanza hana akili ya maisha anachojua ni starehe na kupenda vitu vya thamani ambavyo havina maana katika maisha yani hawazi maendeleo yoyote zaidi ya starehe na kuvaa nguo mpya tu

Nimewaza niwajengee watoto niliozaa na huyu mchepuko kisha nimpe msingi afungue biashara ili hiyo biashara atakayofungua ndio iwe inapatikana pesa ya kulisha watoto, na nimepanga kuwakatia Bima ya afya watoto ili iwasaidie pindi wakiumwa kwa maana mimi nibakie na jukumu la kuhakikisha tu watotoe wanasoma na kulipiwa Ada shule.

Sihitaji connection yoyote na huyu mchepuko ili niweze kukaa na mke wangu kwa amani na yeye nimuache na maisha yake.

Naomba kujua, nikimfungulia biashara ili iwe inasaidia kulisha watoto niweze kuepeka suala la kutoa pesa za kila siku za matumizi ya watoto ni sahihi au si sahihi?! Naomba ushauri wenu na mawazo yenu nini sahihi nikifanye maana naona tayar nishachanganya Unga na cement kwenye maji mpaka sasahivi, nishauri chochote ambacho unahisi kitanisaidia
 
Wanaume sioni comments zenu humu🤣🤣
Wanawake wanaopambana na nyinyi mnawapenda kimslahi. mnatumia nguvu zao mnapata mali mnaenda kujengea michepuko.
Sasa huo mchepuko ambao hauna akili za maisha mnawafuata wa nini??

Cc Kisai Zemanda Deleted01 na wengine mje tuone comments zenu na huku

Honestly wanaume hamjielewi mnatakaga nini kwenye maisha yenu. Ni wapumbavu pro max na mabingwa wa kupotezea mda wake zenu. Baki na huyo golikipa wako mchepuko si ndo mnaowapenda.
 
Wanaume sioni comments zenu humu🤣🤣
Wanawake wanaopambana na nyinyi mnawapenda kimslahi. mnatumia nguvu zao mnapata mali mnaenda kujengea michepuko.
Sasa huo mchepuko ambao hauna akili za maisha mnawafuata wa nini??

Cc Kisai Zemanda Deleted01 na wengine mje tuone comments zenu na huku

Honestly wanaume hamjielewi mnatakaga nini kwenye maisha yenu. Ni wapumbavu pro max na mabingwa wa kupotezea mda wake zenu. Baki na huyo golikipa wako mchepuko si ndo mnaowapenda.
tatizo hao wanawake wenye akili za maisha hawana tako na mbusus zao baridi. hawa wapenda starehe kwanza wazuri alafu uno wanalijua. hawa wake zetu wenye akili za maisha ni lazima wawe hivyo (law of averages) wanabalance kwa kutokuwa na sura na chura.
ni kama sie wanaume mbona mna complain kuwa broke niggas but ndio wenye kujua kupelekea moto mbususu. vibamia tuna hela ila hatujui kugegeda.
 
Habari, mimi nimeoa nina mke na nimezaa nae watoto wa nne, mke wangu ni mzaliwa wa Tanga, kuna mistake ambayo nilifanya nilijikuta natoka nje ya ndoa yangu na kuanzisha mahusiano na binti mwingine (mchepuko) ambae ni mzaliwa wa kondoa (mrangi) na huyu mchepuko pia nimezaa nae watoto wawili. Mke wangu amegundua kuwa nimechepuka na nimezaa nje ya ndoa yangu, furaha imetoweka ndani ya nyumba na mke wangu anataka nimpe talaka tuachane. Kiukweli nashindwa kumuacha mke wangu kwasababu ni mwanamke mwenye kujielewa sana, mpambanaji na pia ndie nilieanza nae tangu sina kitu mpaka Leo hii mungu kajaalia nina maisha mazuri

Niliteleza kuchepuka na kuanzisha mahusiano na huyu mwanamke mwingine wa kirangi na kuzaa nae

Kitu sahihi ambacho nimewaza au naona ni sahihi ili kunusuru ndoa yangu ni kuachana na huu mchepuko ili nibaki na mke wangu tulee watoto wetu kwasababu huyu mchepuko kwanza hana akili ya maisha anachojua ni starehe na kupenda vitu vya thamani ambavyo havina maana katika maisha yani hawazi maendeleo yoyote zaidi ya starehe na kuvaa nguo mpya tu

Nimewaza niwajengee watoto niliozaa na huyu mchepuko kisha nimpe msingi afungue biashara ili hiyo biashara atakayofungua ndio iwe inapatikana pesa ya kulisha watoto, na nimepanga kuwakatia Bima ya afya watoto ili iwasaidie pindi wakiumwa kwa maana mimi nibakie na jukumu la kuhakikisha tu watotoe wanasoma na kulipiwa Ada shule.

Sihitaji connection yoyote na huyu mchepuko ili niweze kukaa na mke wangu kwa amani na yeye nimuache na maisha yake.

Naomba kujua, nikimfungulia biashara ili iwe inasaidia kulisha watoto niweze kuepeka suala la kutoa pesa za kila siku za matumizi ya watoto ni sahihi au si sahihi?! Naomba ushauri wenu na mawazo yenu nini sahihi nikifanye maana naona tayar nishachanganya Unga na cement kwenye maji mpaka sasahivi, nishauri chochote ambacho unahisi kitanisaidia
Watoto wako Wana umri Gani??
Kama Wana umri wakukaa na baba Yao chukua watoto Kaa nae yeye mpe ela ya mtaji akimaliza alale mbele.

Ila nawewe kiongoz ulinogewa nin huko??
Umetia mimba yakwanza mpk miez 9 akazaa ukaleta ukatia nyingine unalea. Yaan akili Yako ilikutuma kuwa mke wako hatajua au ukiwaza nn
 
Usimpe mtaji,jipange Tu uwe unatoa child support kila mwezi sababu biashara sio kwa kila mtu! Kuhusu mkeo umemkosea Sana ana halali ya kudai taraka sababu no way out unaweza kujitenga na hao watoto wa nje! Ingekua Mimi ndoa mkeo pangechimbika mkuu, imagine ndani mna watoto wanne,ukaenda nje ukazaa mtoto wa Kwanza akakua mkatafuta mimba nyingine mkazaa wa pili si makusudi hayo?angekua mmoja afadhali ungesema ni bahati mbaya,sasa utamwaminishaje mkeo unampenda kuliko huyo mchepuko uliempenda mpk ukazaa watoto wawili?
 
Daaaa
tatizo hao wanawake wenye akili za maisha hawana tako na mbusus zao baridi. hawa wapenda starehe kwanza wazuri alafu uno wanalijua. hawa wake zetu wenye akili za maisha ni lazima wawe hivyo (law of averages) wanabalance kwa kutokuwa na sura na chura.
ni kama sie wanaume mbona mna complain kuwa broke niggas but ndio wenye kujua kupelekea moto mbususu. vibamia tuna hela ila hatujui kugegeda.

tatizo hao wanawake wenye akili za maisha hawana tako na mbusus zao baridi. hawa wapenda starehe kwanza wazuri alafu uno wanalijua. hawa wake zetu wenye akili za maisha ni lazima wawe hivyo (law of averages) wanabalance kwa kutokuwa na sura na chura.
ni kama sie wanaume mbona mna complain kuwa broke niggas but ndio wenye kujua kupelekea moto mbususu. vibamia tuna hela ila hatujui kugegeda.
Daaah chizi kalogwa tena!
 
tatizo hao wanawake wenye akili za maisha hawana tako na mbusus zao baridi. hawa wapenda starehe kwanza wazuri alafu uno wanalijua. hawa wake zetu wenye akili za maisha ni lazima wawe hivyo (law of averages) wanabalance kwa kutokuwa na sura na chura.
ni kama sie wanaume mbona mna complain kuwa broke niggas but ndio wenye kujua kupelekea moto mbususu. vibamia tuna hela ila hatujui kugegeda.
Sasa kwanini mnawaoa? Kwasababu ya upambanaji wao? Na kwanini bado mnafungua nyuzi kuhusu wanawake wanaojishughulisha na wanaofanya kazi mnasema wanakinzana na nature ya mwanamke ya kukaa nyumbani?

Men are you sure you know what you really want?
 
Watoto wako Wana umri Gani??
Kama Wana umri wakukaa na baba Yao chukua watoto Kaa nae yeye mpe ela ya mtaji akimaliza alale mbele.

Ila nawewe kiongoz ulinogewa nin huko??
Umetia mimba yakwanza mpk miez 9 akazaa ukaleta ukatia nyingine unalea. Yaan akili Yako ilikutuma kuwa mke wako hatajua au ukiwaza nn
Ndo mkewe akubali kuletewa hao watoto awalee,angekua mmoja afadhali!
 
Sasa kwanini mnawaoa? Kwasababu ya upambanaji wao? Na kwanini bado mnafungua nyuzi kuhusu wanawake wanaojishughulisha na wanaofanya kazi mnasema wanakinzana na nature ya mwanamke ya kukaa nyumbani?
Wanaojishughulisha hawawataki sababu hawana chura,msingi kiuno hawawataki sababu hawana Akili ya kujishugulisha!
 
Watoto wako Wana umri Gani??
Kama Wana umri wakukaa na baba Yao chukua watoto Kaa nae yeye mpe ela ya mtaji akimaliza alale mbele.

Ila nawewe kiongoz ulinogewa nin huko??
Umetia mimba yakwanza mpk miez 9 akazaa ukaleta ukatia nyingine unalea. Yaan akili Yako ilikutuma kuwa mke wako hatajua au ukiwaza nn
Mnasemaga kirahisi sana kwamba apeleke watoto akawalee, huyo mwanamke ataishi na maumivu kiasi gani akijua ulizaa nje ya ndoa? Bado mnakaa kutukana singe mothers mnaowazalisha, mfano mkeo angekuja na mtoto kwako ungemuoa? Sasa kwanini wewe unampelekea uliozaa nje? Seriously au mnadhani wanawake hawana mioyo ya maumivu?
 
Wanaojishughulisha hawawataki sababu hawana chura,msingi kiuno hawawataki sababu hawana Akili ya kujishugulisha!
Bipolar hawa viumbe🤣
Mwanamke anaefanya kazi wanamwita feminist kwamba akifanya kazi automatically anakua muumini wa 50/50 (sijui hii tafsiri wanaochukuliaje)
wanamwachisha kazi ili alee watoto nyumbani, akiwa nyumbani wanaenda kuzaa na michepuko wanaoshinda kwenye mabaa ambao hawana akili za maisha wanawajengea nyumba na kuwafungulia biashara. Vitu ambavyo mkewe wa ndoa ameshindwa kumpa.

This gender is messed up
 
Kufungua biashara ni jambo la kwanza na ku run biashara ni jambo lingine
 
Sasa kwanini mnawaoa? Kwasababu ya upambanaji wao? Na kwanini bado mnafungua nyuzi kuhusu wanawake wanaojishughulisha na wanaofanya kazi mnasema wanakinzana na nature ya mwanamke ya kukaa nyumbani?

Men are you sure you know what you really want?
ofcoz we know wat we want, punani, the more the better
 
wacha wee.....aisee pamoja na uchizi wangu siwezi oa mwanamke hana chura wala sura eti kisa ana akili za maisha. mie mwanamke ni chombo cha starehe so chura na sura ndio muhimu akili tutatumia zangu
Wanaume wote wangekua na Akili kama zako ndoa zingekua imara Sana,kama unapenda chura tafuta oa achana na flat screen Kwa kigezo cha Akili kesho uanze kuwatafuta wenye chura!
 
Nimeteleza!!! Watoto wawili na mchepuko!! Nataka nimjengee nyuma!!! Nimpe msingi wa biashara ya kulisha watoto!!! Nikate nao connection!! Na una watoto nae tena wawili, hawa watoto ni mawe😡😡😡.
Na. Kuna mijinga imekuja inakushauri hapa.
Are you serious.

Unajua usemi maji yakishamwagika hayazoleki. Pambana kumuelewesha mkeo. Tena ukiweza kaa kimya, ajue asijue atajua mwenyewe.
Lea familia zote mbili. Endelea na maisha. Mtoto siio dhambi kupata. Dhambi jinsi ulivyompata na huo ni ungese wako.
Rule number one. BLACK MAN DON'T CHEAT.
MBWA WW
 
Habari, mimi nimeoa nina mke na nimezaa nae watoto wa nne, mke wangu ni mzaliwa wa Tanga, kuna mistake ambayo nilifanya nilijikuta natoka nje ya ndoa yangu na kuanzisha mahusiano na binti mwingine (mchepuko) ambae ni mzaliwa wa kondoa (mrangi) na huyu mchepuko pia nimezaa nae watoto wawili. Mke wangu amegundua kuwa nimechepuka na nimezaa nje ya ndoa yangu, furaha imetoweka ndani ya nyumba na mke wangu anataka nimpe talaka tuachane. Kiukweli nashindwa kumuacha mke wangu kwasababu ni mwanamke mwenye kujielewa sana, mpambanaji na pia ndie nilieanza nae tangu sina kitu mpaka Leo hii mungu kajaalia nina maisha mazuri

Niliteleza kuchepuka na kuanzisha mahusiano na huyu mwanamke mwingine wa kirangi na kuzaa nae

Kitu sahihi ambacho nimewaza au naona ni sahihi ili kunusuru ndoa yangu ni kuachana na huu mchepuko ili nibaki na mke wangu tulee watoto wetu kwasababu huyu mchepuko kwanza hana akili ya maisha anachojua ni starehe na kupenda vitu vya thamani ambavyo havina maana katika maisha yani hawazi maendeleo yoyote zaidi ya starehe na kuvaa nguo mpya tu

Nimewaza niwajengee watoto niliozaa na huyu mchepuko kisha nimpe msingi afungue biashara ili hiyo biashara atakayofungua ndio iwe inapatikana pesa ya kulisha watoto, na nimepanga kuwakatia Bima ya afya watoto ili iwasaidie pindi wakiumwa kwa maana mimi nibakie na jukumu la kuhakikisha tu watotoe wanasoma na kulipiwa Ada shule.

Sihitaji connection yoyote na huyu mchepuko ili niweze kukaa na mke wangu kwa amani na yeye nimuache na maisha yake.

Naomba kujua, nikimfungulia biashara ili iwe inasaidia kulisha watoto niweze kuepeka suala la kutoa pesa za kila siku za matumizi ya watoto ni sahihi au si sahihi?! Naomba ushauri wenu na mawazo yenu nini sahihi nikifanye maana naona tayar nishachanganya Unga na cement kwenye maji mpaka sasahivi, nishauri chochote ambacho unahisi kitanisaidia
Duuu watoto wawili? Hapo ni makusudi
 
Back
Top Bottom