Naombeni tupige hesabu, Rais anateua watu wangapi nchini

Naombeni tupige hesabu, Rais anateua watu wangapi nchini

Ndiyo maana rais wa tz Huwa anajiona kama Mungu mtu kumbe ni upuuzi mtupu.mabadiliko ya katiba yanahitajika ili kumpunguzia hayo madaraka makubwa ya kimungu mtu
 
Kwa uelewa wangu mdogo

  • wakuu wa mikoa -31
  • makatibu tawala wa mikoa - 31
  • wakuu wa wilaya - 184
  • makatibu tawala wa wilaya - 184
  • Waziri mkuu - 1
  • Naibu waziri mkuu - 1
  • Mawaziri - 21
  • Naibu waziri - 21
  • IGP - 1
  • CDF - 1
  • Mkuu magereza - 1
  • Mkuu usalama - 1
  • wakuu wa vyuo - takriban 30
JUMLA - 508
Waalim wa kuaya.
 
Kwa uelewa wangu mdogo

  • wakuu wa mikoa -31
  • makatibu tawala wa mikoa - 31
  • wakuu wa wilaya - 184
  • makatibu tawala wa wilaya - 184
  • Waziri mkuu - 1
  • Naibu waziri mkuu - 1
  • Mawaziri - 21
  • Naibu waziri - 21
  • IGP - 1
  • CDF - 1
  • Mkuu magereza - 1
  • Mkuu usalama - 1
  • wakuu wa vyuo - takriban 30
JUMLA - 508
Wabunge - 10
 
Kwa uelewa wangu mdogo

  • wakuu wa mikoa -31
  • makatibu tawala wa mikoa - 31
  • wakuu wa wilaya - 184
  • makatibu tawala wa wilaya - 184
  • Waziri mkuu - 1
  • Naibu waziri mkuu - 1
  • Mawaziri - 21
  • Naibu waziri - 21
  • IGP - 1
  • CDF - 1
  • Mkuu magereza - 1
  • Mkuu usalama - 1
  • wakuu wa vyuo - takriban 30
JUMLA - 508
Wakurugenzi wa halimshauri za miji, majiji, na wilaya.
 
Back
Top Bottom