kamati za ulinzi na usalama.Maneno hayahaya unayarudia kila THREAD
Inaonekana UTEUZI aliofanya Amiri Jeshi Wa Nchi UMEKUUMA SANA....pole mzee....
Endelea kuyarudia kila THREAD ha ha ha ha
#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM
Irina kulikuwa na mwanamama mmja dc alikuwa na majibu ya ovyo,dharau vp kapona nayeNi easy tu mkuu ,mkeka wote umetoka,naam pdf ni kubwa kidogo ni page nane tu,wataalamu wa excel watatusaidia kuyaweka ya uteuzi before and after....Majina Mapya yote inawakilisha walioondoka....Ukiona DC mpya ambaye awali alikuwa benchi basi ni idadi hiyo hiyo waliopigwa chini.
1. Juma Mgoy(kilosa) kilosa wanapika pilauNaona kila sehemu ni orodha ya walioteuliwa tu
Naomba mwenye orodha ya waliotemwa tuiweke hapa tuione..
Nataka kuona yupi labda alikuwa mchapakazi katemwa 'kimakosa'..
Mwenye nayo please naomba iweke hapa
Kabaki hapohapo alipokuwa mwanzoVp julius mtatiro kabaki
Ova
ameambiwa akacheze na mkewe, yule si mtoto wa kishua Masaki huko Dar, akakae kwenye nyumba ya uridhi wa Babs ake.Yule aliemwambia mwenzie atulize mat*ko chini kule Iringa anaitwa nan?
Unafiki tupu. Mlidhani yeye ni malaika wa kutawala milele.Sisi ambao sio wasukuma ndo tulikuwa tunamkubali jpm kuliko hata wasukuma wenyewe.
Una mdomo chafu zaidi ya jalala la mkoa.
Na nitamtaja kila uzi ukikereka ondoka jf.
EehVp julius mtatiro kabaki
Ova