Richard kasesela.Yule aliemwambia mwenzie atulize mat*ko chini kule Iringa anaitwa nan?
Richard kasesela.Yule aliemwambia mwenzie atulize mat*ko chini kule Iringa anaitwa nan?
Maskini na mara ya mwisho, alikwenda Star TV kufanya'promo' kama ile ya 7baya kule Clouds. Nampongeza lakini kwa 'kurusha taulo ulingoni' kukubali yaishe, na kuomba msamaha kwa wote aliowakwaza ktk kipindi chake cha uongozi.Mimi Kasesera ndiye nimemuonea huruma siyo kwa juhudi zile hadi zile na maigizo
La uhakika sasa rais anapewa majina na kutangaza uteuzi
Asia abdalah wa kilolo katemwa.Irina kulikuwa na mwanamama mmja dc alikuwa na majibu ya ovyo,dharau vp kapona naye
Maana alikuwa anajiona cheo hicho kama atakaa milele
Ova
Mbona yule alietolewa Uvccm kule Iringa akapewa ukuu wa wilaya Arusha umemsahau?Naona kila sehemu ni orodha ya walioteuliwa tu
Naomba mwenye orodha ya waliotemwa tuiweke hapa tuione..
Nataka kuona yupi labda alikuwa mchapakazi katemwa 'kimakosa'..
Mwenye nayo please naomba iweke hapa
=====
Komanya kitwala - TaboraWakuu Walioachwa mkeka wa mama Wa Ma DC
1. Richard Kasesela - Iringa
2. Lengai Sabaya - Hai
3. Lydia Bupilipili - Bunda
4. Ruth Blasio Msafiri - Njombe
5. Deogratius Kinawilo - Bukoba
6. Dr. Philis Nyimbi - Nyamagana
7. Dr. Severine Lalika-Ilemela
8. Dr. Kipole -Sengerema
9. Cornel Magembe - Ukerewe
10. Simon Odunga - Rorya
11. Eng. Mtemi Msafiri - Tarime
12. Nyamaganga Talaba - Kishapu
13. Anna Nyamubi - Butiama
14. Salehe Mhando - Tanganyika
15. Paul Ntinika - Mbeya
16. Asia Abdalah - Kilolo
Huyo dc alikuwa anajiona atakuwa dc mileleAsia abdalah wa kilolo katemwa.
Unataka kutambika?Kwani JPM kabila gani ?
Huyu namba 16 ni yule aliyetolewa mfano PM kwa kubadili madereva?Wakuu Walioachwa mkeka wa mama Wa Ma DC
1. Richard Kasesela - Iringa
2. Lengai Sabaya - Hai
3. Lydia Bupilipili - Bunda
4. Ruth Blasio Msafiri - Njombe
5. Deogratius Kinawilo - Bukoba
6. Dr. Philis Nyimbi - Nyamagana
7. Dr. Severine Lalika-Ilemela
8. Dr. Kipole -Sengerema
9. Cornel Magembe - Ukerewe
10. Simon Odunga - Rorya
11. Eng. Mtemi Msafiri - Tarime
12. Nyamaganga Talaba - Kishapu
13. Anna Nyamubi - Butiama
14. Salehe Mhando - Tanganyika
15. Paul Ntinika - Mbeya
16. Asia Abdalah - Kilolo
Katupwaa nje ya mfumo,Huyo dc alikuwa anajiona atakuwa dc milele
Alikuwa na majibu siyo kabisa
Ova
Huyo mama wa kirangi ana roho mbaya Sana alifunga adi duka na kuwafukuza nduguze kisa amekuwa na cheo mpuuzi sanaa.Irina kulikuwa na mwanamama mmja dc alikuwa na majibu ya ovyo,dharau vp kapona naye
Maana alikuwa anajiona cheo hicho kama atakaa milele
Ova
Anaonekana tuHuyo mama wa kirangi ana roho mbaya Sana alifunga adi duka na kuwafukuza nduguze kisa amekuwa na cheo mpuuzi sanaa.
Nchi imetulia sana chini ya Samia/// dikteta tushamsahau aiseeeNchi imetulia kwa sasa,Over
Huyo namba kumi alistahili pia achunguzwe kwa makosa ya jinai..Naona kila sehemu ni orodha ya walioteuliwa tu
Naomba mwenye orodha ya waliotemwa tuiweke hapa tuione..
Nataka kuona yupi labda alikuwa mchapakazi katemwa 'kimakosa'..
Mwenye nayo please naomba iweke hapa
=====
Mi kiukweli nilifurahi sana,japo sina kitu.Nina amani moyoni.Nchi imetulia sana chini ya Samia/// dikteta tushamsahau aiseee
MhutuKwani JPM kabila gani ?
Barcelona wanamlilia wapo tayari kuuza wachezaji watatu wakubwa ili wapate mshahara wa kumlipaNimefurahi kwani ' simpendi 'sana CR7.