Naombeni mwongozo

Naombeni mwongozo

Hahahahaha lol!!!! Rafiki kwenye hili bado msimamo wangu haubadiliki. Tunazungumzia usalama wa familia kwa jambo dogo sana ambalo msaidizi anaweza kabisa kuamua kuipoteza familia nzima au kuiacha na majonzi makubwa sana. Pia simaanishi msaidizi atumie tu financial resources za familia hovyo hovyo kitu ambacho hata ndugu hatuwezi kumruhusu. Ninachosema ni kuwa flexible ili hawa wenzetu wasijione wanabaguliwa na hivyo kuhatarisha uhai na mali za familia au kutafuta mwingine kila baada ya miezi michache baada ya kushindana.

mkuu, hii ni TOPIC mpya kabisa (ijapokuwa ni nzuri). topic tunayojadili hapa sio pana kihivyo--jaribu kubaki kwenye hoja ya MSINGI--usiende mbali sana. hapa tunaongelea WILAYA lakini wewe unataka kutulazimisha tuumulike MKOA mzima! i think u get the logic.
 
Kwani huzijui? corporate organisations wanatumia mobile lines za voda, tigo na airtel kama simu za mezani. Si unajua ttcl ilishazimia?

sio kwamba sijui ila najua zinaitwa simu za MKONGA, haziitwi simu za MKONGE. nimefurahi jinsi ulivyoweka msisitizo, hata mimi ningependa kumiliki moja ila nina wasiwasi kama itamfaa beki 3 wangu kwa jinsi anavyokatiza mitaa.
 
Hayo ni maoni yako. Issue hii ambayo inahusu wasaidizi wa nyumbani na usalama wa familia ni pana sana kuliko wewe unavyotaka tuamini, ila kwa taarifa yako mie nimeshajitoa kwenye huu mjadala na wala sitaki maswali.

CC: Fixed Point usicheke tafadhali lol!!!! 🙂🙂🙂


mkuu, hii ni TOPIC mpya kabisa (ijapokuwa ni nzuri). topic tunayojadili hapa sio pana kihivyo--jaribu kubaki kwenye hoja ya MSINGI--usiende mbali sana. hapa tunaongelea WILAYA lakini wewe unataka kutulazimisga tuumulike MKOA mzima! i think u get the logic.
 
Last edited by a moderator:
Bahati mbaya hata ujui mada ipi ya kutoa povu ila kwa kuwa umejua kusema neno hilo basi unalitumia hata mahali ambapo halina haja,mfano wako ulioutoa mbona haulingani na mada iliyopo?

haulingani kivipi?

beki 3 anaachiwa airtime kwa ajili ya emergency badala yake anaitumia kwa mambo mengine.

unampa mwanao fedha kwa ajili ya kulipa ada ya shule badala yake anatumia fedha hizo kuchezea kamari.

je, hizo statemets 2 zinazozungumzia MATUMIZI YASIYOKUSUDIWA hazina mfanano? wewe ulitaka zifananeje?

eti wadau, hakuna ulinganifu wowote hapo?
 
nawasalimu wana mmu.

Jamani tuna hawa wadada wanatusaidia kukaa na nyumba zetu.

Kama tujuavyo maisha ya siku hizi bila simu inakuwa patashika kidogo.

Huwa mdada akija kama hana simu huwa nampa simu ambayo nimeinunua kwa ajili ya nyumbani ili niweze kuwasiliana naye naye awasiliane nami ambapo sipo nyumbani.

Na kama inatokea mdada kaja na simu yake basi simlazimishi atumie ile yangu, huwa natumia tu ile namba yake kwa mawasiliano.

Kinachotokea mpaka naomba mwongozo hapa ni kwamba; huwa nampa sh. 1000 kila wiki kwa ajili ya simu, ili akipata dharura basi aweze kunitaarifu. Mara nyingi mimi huwa napiga simu nyumbani mara kwa mara kwa hiyo inatokea mara nyingi tu ndani ya wiki hajanipigia wala kutuma sms hata moja, na yaweza kuwa hivyo hata mwezi mzima.

Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.

Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?

Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?

Sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.

Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........

mi nimeweka simu ya ttcl hizi za mezani na kwetu kupata vocha za ttcl ni kazi kwahiyo nikiweka 2000 namwambia kukiwa na dharula anipigie ambapo huwa sipokei nakata then nampigia. Inaweza na kutuma sms kama hajapiga atatuma sms sasa vocha huwa haiishi cause ile line ina namba 4 tu. So hana kisingizio kuwa amempigia nani na vocha ikiisha hana ujanja wa kuipata na naweza hata siku yoyote nikaangalia salio anaogopa kama nikikuta limeisha. Every weekend nampa simu awapigie nyumbani na wote anaotaka kuongea nao. Wala sipati shida. Nimemwambia kama kwenu wakitaka wakupigie hapo ila si unajua kupiga ttcl na kijijini wengi hawapigi. Zipo za mitandao mingine ila hizo vocha ni rahisi kupata na chenji sitazikuta na simu itakuwa haina hela kila siku.
 
haulingani kivipi?

beki 3 anaachiwa airtime kwa ajili ya emergency badala yake anaitumia kwa mambo mengine.

unampa mwanao fedha kwa ajili ya kulipa ada ya shule badala yake anatumia fedha hizo kuchezea kamari.

je, hizo statemets 2 zinazozungumzia MATUMIZI YASIYOKUSUDIWA hazina mfanano? wewe ulitaka zifananeje?

eti wadau, hakuna ulinganifu wowote hapo?
Unatafuta hisani ya wadau kwenye mfano wako?Uliwahi kumuuliza mtoa mada kuwa kuliwahi kuwa na tatizo zito nyumbani kwake na hakujulishwa kwa namna yoyote ile?
 
Asante rafiki.
Ila sasa nikiiblock kupiga namba nyingine si nitakuwa namwonea? akitaka kuongea na wazazi wake au ndugu wengine itakuwaje?

Kumbe unataka awapigie wazazi wake na ndugu zake wengine, sasa unacholalamika hapa ni nini hasa? Acha atumie simu vizuri, usilalamike.

Tiba
 
Mi namuelewa mtoa mada. Nimempa msichana simu namuwekea vocha lakini kukiwa na shida home always hana hela ya ku beep. Usiku utamsikia akiongea na hani na bebi wake ( wako zaidi ya mmoja). Anyway thats non of my business ila naomba kuwauliza hao wanaosema house girls nao wanapaswa kuwa na social life, I totally agree, swali ni kwamba social life ya kuwapigia simu bwana zake kupitia gharama zangu inakuwaje hii? Kwa nini asichukue mshahara wake akautumia wooote akitaka akawa na hiyo social life akawapigia mabwana wote I wouldn't give a damn! Lazima kuwe na balance bwana ajue ile ni simu ya kazini. Upo nje ya home unapiga simu fundi yupo getini amfungulie simu ipo buzy nusu saa...! Aaah jamani!
 
Hujaelewa bado. hiyo 1000 ni kwa ajili ya emergency tu. kama akitaka kupiga simu kwa ndugu zake atawekewa airtime atapiga. hakuna mtu aliyesema kwamba anamnyima beki 3 kupiga cm kwa ndugu na jamaa zake.

na kama 1000 ikitumika ikaisha leo ataongezewa nyingine papo hapo--1000 haiko FIXED!

Nina wasiwasi hata maana ya kuelewa hujui!
 
rafiki salama?
umenielewa lakini?
sina shaka na treatment zangu kwa wadada, hata kama hunifahamu naomba nikuaminishe hilo.
hapa concern yangu ni moja tu, airtime ambayo nampa anipigie kukitokea dharura, na si kitu kingine.
huyu ni mdada wa nne kukaa naye. wa kwanza nilikaa naye kwa miaka 3 na wa pili miaka 9, mi5 akinisaidia kazi na mi4 nikimsomesha ili akitoka hapa aende akajitegemee akiwa na ujuzi wake, hili pia huna choice zaidi ya kuamini tu, lol!
watatu nimekaa naye miaka miwili na huyu sasa ndo mgeni. Hao watatu wote nilikuwa nimewatoa kijijini kwetu ambapo mpaka sasa wao wenyewe pamoja na wazazi wao tumekuwa kama ndugu, hawaachi kuja kunisalimu nikienda kijijini............
hapa naomba pia asome Miss Kim, Eiyer, Phlagiey, Toria, Mashaxizo na wengine

Umsomeshe mtu halafu uje ulalamikie matumizi ya buku?

Hata kale ka kondoo kangu pale nyumbani kataikataa hii ....!!
 
Ndo maana nikasema siwashangai wababa wanaosema hivi........
Kuanzia babangu mpaka mume wangu hawajawahi kujihusisha kabisa na maisha ya wasichana wa kazi, labda kama mama/mimi nimesafiri, ila kama tupo basi jukumu la wasichana ni la wamama.
changamoto tunazokutana nazo siwezi hata kuomba ushauri kwa mume wangu maana naye atanijibu kama ambavyo wewe, Eiyer na BAK mnanijibu, ndo maana nikaona nije kuomba mwongozo huku ambapo nitakutana na wamama ambao pia wanakutana na hizi changamoto.
BTW naomba sana munielewe, nazungumzia matumizi ya airtime ninazompa za dharura, siyo chakula, kazi wala malazi......

Na tatizo langu ni hiyo hiyo buku ya eataimu

Hivi kama unalalamika kwenye buku ya eataimu kwenye mambo mengine inakuwaje?
 
Hujaelewa bado. hiyo 1000 ni kwa ajili ya emergency tu. kama akitaka kupiga simu kwa ndugu zake atawekewa airtime atapiga. hakuna mtu aliyesema kwamba anamnyima beki 3 kupiga cm kwa ndugu na jamaa zake.

na kama 1000 ikitumika ikaisha leo ataongezewa nyingine papo hapo--1000 haiko FIXED!
wewe ndio mumewe, umejuaje kuwa jambo liko hivyo, kama unavyotaka tuamini kuwa ipo hivyo
 
Anawapigia wazazi wake kijijini kwao kuwajulia hali.
 
Kwani huzijui? corporate organisations wanatumia mobile lines za voda, tigo na airtel kama simu za mezani. Si unajua ttcl ilishazimia?
Nilikuwa nayo ya ttcl wakaamua kuiharibu sababu ilikuwa inawafunga kubaki home. sasa ngoja nikajaribu voda, lol!
 
Mie pia hii avatar hunifurahisha kila niionapo, ila michango yake imetulia. Napenda kuisoma michango yake.
yaani tpaul kanisaidia sana kujibu hoja katika hii mada yangu, kaielewa kupita kiasi.
Nimemfurahia sana..... keep it up mpendwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom