Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #201
zile za ttcl bado zipo?mi nimeweka simu ya ttcl hizi za mezani na kwetu kupata vocha za ttcl ni kazi kwahiyo nikiweka 2000 namwambia kukiwa na dharula anipigie ambapo huwa sipokei nakata then nampigia. Inaweza na kutuma sms kama hajapiga atatuma sms sasa vocha huwa haiishi cause ile line ina namba 4 tu. So hana kisingizio kuwa amempigia nani na vocha ikiisha hana ujanja wa kuipata na naweza hata siku yoyote nikaangalia salio anaogopa kama nikikuta limeisha. Every weekend nampa simu awapigie nyumbani na wote anaotaka kuongea nao. Wala sipati shida. Nimemwambia kama kwenu wakitaka wakupigie hapo ila si unajua kupiga ttcl na kijijini wengi hawapigi. Zipo za mitandao mingine ila hizo vocha ni rahisi kupata na chenji sitazikuta na simu itakuwa haina hela kila siku.
labda nikajaribu tena kununua maana nilikuwa nayo wakaiharibu.