NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Jina la dawa "AZITHROMYCINE"Azuma ni nn??
Jina la dawa "AZITHROMYCINE"Azuma ni nn??
HAIPATIKANI ATASUMBUKA BUREE AENDE HOSPITALI AKAPIME ATIBIWE KWA UFASAHA HUWENDA NI UTI TUUyaah
HAZIPATIKANIInapatikana kwenye maduka ya dawa??
Hivi ni kwa Nini huwazi kwenda hospitali? Utatibiwa na madaktari wangapi hapa?Hiyo dawa ni ipi
Ninachokiwaza kuhusu hospitali;-Hivi ni kwa Nini huwazi kwenda hospitali? Utatibiwa na madaktari wangapi hapa?
Okay. Pole kwa changamotoNinachokiwaza kuhusu hospitali;-
1. Huku kwetu ni kijijini hakuna hospitali
2. Na ukienda zahanati kwanza unaombwa bima na kama hauna ina bidi utoe tsh.5,000. Hapo hapo unaambiwa ukanunue dawa duka la dawa.
3. Na hata manesi wa pale zahati hawatofautiani na manesi wa duka la dawa.
Kwa mfano nakwenda zahati natoa 5,000 alafu nanunua dawa 8,000 si nibora nikanunue tu dawa ya sh.8000 yaishe
Dozi Moja ni 4000/= zaidi ya hapo wamekupiga mkuuMulioandika huhusu AZUMA shukrani imenisaidia ila pesa niliyoinunua si ya kitoto
Wamenipiga kweriDozi Moja ni 4000/= zaidi ya hapo wamekupiga mkuu
Kutoka ulipo hadi wilayani pana umbali ganiNinachokiwaza kuhusu hospitali;-
1. Huku kwetu ni kijijini hakuna hospitali
2. Na ukienda zahanati kwanza unaombwa bima na kama hauna ina bidi utoe tsh.5,000. Hapo hapo unaambiwa ukanunue dawa duka la dawa.
3. Na hata manesi wa pale zahati hawatofautiani na manesi wa duka la dawa.
Kwa mfano nakwenda zahati natoa 5,000 alafu nanunua dawa 8,000 si nibora nikanunue tu dawa ya sh.8000 yaishe