Naombeni Msaada wenu, Nimekamatika kiuchumi.

Naombeni Msaada wenu, Nimekamatika kiuchumi.

👇👇👇👇
👆👆👆👆👆

Hapo juu ulikuja unauza kiwanda kabisa bila aibu wakati ungeweza kusimamia ukajiingizia fedha..

any way, sawa... ukapata laki nane, Je ulizipeleka wapi?
Mbona kama ni mambo binafsi sana haya mkuu? Ila Jf🙌
 
Mbona hizi Skills ni mali kabisa kaka Njoo DM nikupe ushauri , actually ungetoa pia shida yako mapema ningekulink na jamaa wa mgodi flani mkubwa hapa Tanzania mwezi uliopita walikuwa wanatafuta watu wa kuingia kwenye kampuni mama kama Helpers au assistant operators,ila hakijaharibika neno
Nimekuja Mkuu
 
Mkuu Mimi by Profession ni Electrical Engineer,

Lakini nimepambana kwa hiki kipindi cha mpito kutafuta ajira Bila mafanikio, Nimejaribu Sana,

Lakini sijapata tamaa
Duuu, ni kweli ajira za Electrical Engineers zimekuwa issue hata utumishi wanatangaza kwa uchache sanaa! Basi usiwe na shaka Chief, nitakapoona au kusikia huko Duniani nitakujuza.
 
Duuu, ni kweli ajira za Electrical Engineers zimekuwa issue hata utumishi wanatangaza kwa uchache sanaa! Basi usiwe na shaka Chief, nitakapoona au kusikia huko Duniani nitakujuza.
Asante Sana Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom