Naombeni Msaada wenu, Nimekamatika kiuchumi.

Naombeni Msaada wenu, Nimekamatika kiuchumi.

KingPower

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
1,144
Reaction score
1,888
Wakuu Habarini,!

Nielekee moja kwa moja kwenye Mada Hakika Mficha Maradhi Kifo humuumbua,
Maisha yanaweza kupinduka in a flash of second,
Jamani nisikieni Nina Huzuni na Moyo unalia Sana,
Naomba Msaada wenu napitia kipindi kigumu kupita maelezo nimekwama,

Nina shida ya Ajira/Kazi ya kujikimu kimaisha, Nina Mtoto yupo shule/kodi, Mke wangu Mjamzito natarajia kupata Mtoto Mwingine na sina Kitu kabisa

Wazazi nao wananiangalia Mimi kama tegemeo lao,
Nina zaidi ya Mwaka Mmoja kwenye Hii misukosuko(Ni story ndefu Sana) Nipigwa Sana kiuchumi,

Mnisaidie Ndugu zangu
Natanguliza shukrani zangu.
 
Unataka msaada wa aina gani? Ajira? Au unataka kuchangiwa? Wakristo na Waislamu wote tumefunga na huu ni wakati mzuri wa kutoa msaada kwa watu baki. Kama unataka kuchangiwa sema ili wenye moyo wafanye hivyo. Ila kwanza jaribu kucheki na uongozi wa JF ili uone kama kuna mwongozo. Matapeli walishaharibu imani ya watu mpaka mtu mwenye shida halisi kama wewe hivi watu wanaweza kusita sita.

Pole sana. Utavuka! 🙏🏿
 
Mkuu kama nitakuwa sawa, ulikuja mwaka Juzi hapa ukiwa na ajira yako nzuri tu tena ukakopa benki ya Stanbic..
👇👇👇👇
👆👆👆👆
Tuambie kwanza mbona umetuficha kuhusu hili?
 
Wakuu Habarini,!

Nielekee moja kwa moja kwenye Mada Hakika Mficha Maradhi Kifo humuumbua,
Maisha yanaweza kupinduka in a flash of second,
Jamani nisikieni Nina Huzuni na Moyo unalia Sana,
Naomba Msaada wenu napitia kipindi kigumu kupita maelezo nimekwama,

Nina shida ya Ajira/Kazi ya kujikimu kimaisha, Nina Mtoto yupo shule/kodi, Mke wangu Mjamzito natarajia kupata Mtoto Mwingine na sina Kitu kabisa

Wazazi nao wananiangalia Mimi kama tegemeo lao,
Nina zaidi ya Mwaka Mmoja kwenye Hii misukosuko(Ni story ndefu Sana) Nipigwa Sana kiuchumi,

Mnisaidie Ndugu zangu
Natanguliza shukrani zangu.
Pole sana kwa Changamoto pengine unge-elezea kwa ufupi ujuzi/taaluma uliyonayo pamoja na uzoefu ili kama itapatikana nafasi mahali utangaziwe mkuu!
Usijali ni kipindi tuu kwenye maisha kitapita kama upepo uvumao
 
👇👇👇👇
👆👆👆👆👆

Hapo juu ulikuja unauza kiwanda kabisa bila aibu wakati ungeweza kusimamia ukajiingizia fedha..

any way, sawa... ukapata laki nane, Je ulizipeleka wapi?
 
Unataka msaada wa aina gani? Ajira? Au unataka kuchangiwa? Wakristo na Waislamu wote tumefunga na huu ni wakati mzuri wa kutoa msaada kwa watu baki. Kama unataka kuchangiwa sema ili wenye moyo wafanye hivyo. Ila kwanza jaribu kucheki na uongozi wa JF ili uone kama kuna mwongozo. Matapeli walishaharibu imani ya watu mpaka mtu mwenye shida halisi kama wewe hivi watu wanaweza kusita sita.

Pole sana. Utavuka! 🙏🏿
Mkuu Nikipa ajira itakuwa heri zaidi lakini pia hata mtaji maana Nina Experience ya biashara ingawa kwa sasa uko Nimeyumba vibaya Sana,

Lakini Mimi ni Fundi wa umeme
 
👇👇👇👇
👆👆👆👆👆

Hapo juu ulikuja unauza kiwanda kabisa bila aibu wakati ungeweza kusimamia ukajiingizia fedha..

any way, sawa... ukapata laki nane, Je ulizipeleka wapi?
Mkuu sikukatalii ila Niliwekwa kwenye angle mbaya na kimfaacho mtu chake, ila nilijinusuru kwa Muda lakini jahazi Naona linazama
 
Wakuu Habarini,!

Nielekee moja kwa moja kwenye Mada Hakika Mficha Maradhi Kifo humuumbua,
Maisha yanaweza kupinduka in a flash of second,
Jamani nisikieni Nina Huzuni na Moyo unalia Sana,
Naomba Msaada wenu napitia kipindi kigumu kupita maelezo nimekwama,

Nina shida ya Ajira/Kazi ya kujikimu kimaisha, Nina Mtoto yupo shule/kodi, Mke wangu Mjamzito natarajia kupata Mtoto Mwingine na sina Kitu kabisa

Wazazi nao wananiangalia Mimi kama tegemeo lao,
Nina zaidi ya Mwaka Mmoja kwenye Hii misukosuko(Ni story ndefu Sana) Nipigwa Sana kiuchumi,

Mnisaidie Ndugu zangu
Natanguliza shukrani zangu.
[/QUOT.
Ccm wanasema urudi veta mkuuu
 
Wakuu Habarini,!

Nielekee moja kwa moja kwenye Mada Hakika Mficha Maradhi Kifo humuumbua,
Maisha yanaweza kupinduka in a flash of second,
Jamani nisikieni Nina Huzuni na Moyo unalia Sana,
Naomba Msaada wenu napitia kipindi kigumu kupita maelezo nimekwama,

Nina shida ya Ajira/Kazi ya kujikimu kimaisha, Nina Mtoto yupo shule/kodi, Mke wangu Mjamzito natarajia kupata Mtoto Mwingine na sina Kitu kabisa

Wazazi nao wananiangalia Mimi kama tegemeo lao,
Nina zaidi ya Mwaka Mmoja kwenye Hii misukosuko(Ni story ndefu Sana) Nipigwa Sana kiuchumi,

Mnisaidie Ndugu zangu
Natanguliza shukrani zangu.
Pole sana ila ccm hawajui hayo,wao wanasema veta inakuhusu ,yaani rudi veta
 
Pole sana kwa Changamoto pengine unge-elezea kwa ufupi ujuzi/taaluma uliyonayo pamoja na uzoefu ili kama itapatikana nafasi mahali utangaziwe mkuu!
Usijali ni kipindi tuu kwenye maisha kitapita kama upepo uvumao
Mkuu Mimi by Profession ni Electrical Engineer,

Lakini nimepambana kwa hiki kipindi cha mpito kutafuta ajira Bila mafanikio, Nimejaribu Sana,

Lakini sijapata tamaa
 
Pole sana wengi tupo kwenye msoto wa Hali ya juu sana, nimeona hata uvivu wa kwenda kujiandikisha kama mpiga kura, japo kituo kipo nyumba ya tatu toka nilipo lakini chaguo langu ni mama samia, ungeweka wasifu wako huenda ungesaidika, (professional yako hukuweka)
Electrical Engineer lakini pia Nina cheti cha Uendeshaji wa MITAMBO (Excavator) hapa sina uzoefu kwenye hydraulic Excavator
 
Mkuu Mimi by Profession ni Electrical Engineer,

Lakini nimepambana kwa hiki kipindi cha mpito kutafuta ajira Bila mafanikio, Nimejaribu Sana,

Lakini sijapata tamaa
Njoo DM ,Mimi pia ni Electrical Engineer mbona mkuu na sin ajira toka 2018 ? ,Life linaenda kibishi .njoo DM tuyajenge ,usikate tamaa kidume
 
Mkuu kama nitakuwa sawa, ulikuja mwaka Juzi hapa ukiwa na ajira yako nzuri tu tena ukakopa benki ya Stanbic..
👇👇👇👇
👆👆👆👆
Tuambie kwanza mbona umetuficha kuhusu hili?
Mkuu Nina Neno moja Tu kwenye haya Maisha,
Kama Mungu anavyoweza kutoa anaweza akakitwa,!
 
Electrical Engineer lakini pia Nina cheti cha Uendeshaji wa MITAMBO (Excavator) hapa sina uzoefu kwenye hydraulic Excavator
Mbona hizi Skills ni mali kabisa kaka Njoo DM nikupe ushauri , actually ungetoa pia shida yako mapema ningekulink na jamaa wa mgodi flani mkubwa hapa Tanzania mwezi uliopita walikuwa wanatafuta watu wa kuingia kwenye kampuni mama kama Helpers au assistant operators,ila hakijaharibika neno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom