Naombeni Msaada wenu kuhusu bei ya Unit ya Maji

May 27, 2011
6
0
Kaka yangu mwanakijiji na wanajf wengine, naombeni mnisaidie kupata bei ya maji safi kwa unit moja zinazotozwa na mamlaka za maji za mikoa yote ya tz. Najua ni kazi ngumu kaka lakn nisaidie. Nazihitaji data hizo ili niweze kulinganisha na mkoa wetu wa shy. SHUWASA wamepandisha bei kwa takrban 90%, wananchi tunapinga. Data hizo zitasaidia ktk kuwasilisha malalamiko yetu kwa ngazi zinazohusika kabla ya kuwahamasisha watu wachukue hatua ya kupinga unyonyaji huu. Mods naomba msiitoe thread yangu hadi ntakapopata majibu. Nisaidie.
 
Kaka yangu mwanakijiji ...
Mzee Mwanakijiji yuko Detroit suburbs, Marekani, hajawahi kununua maji Tanzania karne hii, ni rahisi zaidi kwako kupata data hizo. Na kama huwezi basi hata ingekupiga kichwani usingeitambua data hiyo wala usingeweza kuitumia, unapoteza muda na kujaza bandwidth.
 
Mzee Mwanakijiji yuko Detroit suburbs, Marekani, hajawahi kununua maji Tanzania karne hii, ni rahisi zaidi kwako kupata data hizo. Na kama huwezi basi hata ingekupiga kichwani usingeitambua data hiyo wala usingeweza kuitumia, unapoteza muda na kujaza bandwidth.

uko humu jf kimakosa. Ninajua mwanakijiji anaishi marekani, nmeomba msaada wake kwa thamini mchango wake mkubwa ktk tz, japo yupo usa, mwanakijiji amekuwa mstar wa mbele ktk mambo ya hapa nchini. After all skukuuliza wewe, wewe ni nani hata udirik kumjibia? Acha upuuz bwana. Kama upend kamba yangu, usiisome.
 
uko humu jf kimakosa. ... Acha upuuz bwana.
bora mpuuzi mwenye effort ya ku research data za nchi yake ndani ya nchi yake kuliko laggard anaetaka kutafuniwa na kutafutiwa data za Tanzania na mtu wa Marekani. Mtu yuko Detroit suburbs atajuaje bei ya maji Shinyanga wakati hajawahi kununua maji Tanzania karne hii. Anakoishi kuna mito ya maziwa na mabomba ya asali, hawezi kukutatulia adha za maji Tanzania kutokea Marekani. Jenga nchi yako.
 
Suala si kupandisha kwa asilimia 90, tuambie awali ilikuwa sh. Ngapi na sasa wanauza kwa sh. Ngapi. Yawezekana unit 1 ilikuwa sh.100, wameongeza 90% ikawa sh. 190 bado mnalalamika?. Nipe mabadiliko ya bei kwa shilingi ya tz ili tufanye comparison na mamlaka nyingine
 
Ndugu Godfrey GODI Js fanya namna hii...

1. Nenda TTCL Makao Makuu Shinyanga waambie unahitaji Tanzania Telephone Directory toleo la sasa hivi. Wakiuliza namba yako watajie namba yoyote ile ya landline ya Shinyanga. Au kama umeajiriwa cheki kwa receptionist wenu atakuwa nayo.

2. Kwa kutumia uzoefu wa kuishi Tanzania bila shaka unafahamu format ya majina ya mamlaka za maji. Format inakuwaga hivi: Jina la mji + Urban Water Supply and Sewerage Authority.

Mfano:
- Shinyanga Urban Water Supply and Sewerage Authority
- Dar es Salaam Urban Water Supply and Sewerage Authority
- Morogoro Urban Water Supply and Sewerage Authority

... na kadhalika.

3. Yatafute hayo majina kwenye Tanzania Telephone Directory ya TTCL, utapata namba zao.

4. Wapigie simu mmoja baada ya mwingine. Usiwaambie unafanya utafiti watakupotezea. Waambie wewe unataka kuvuta bomba je bei ya unit ya maji yao ikoje?

** Mwisho kabisa kwa kuongezea ukishakusanya hizo bei ziweke kwenye excel tuletee nakala hapa JF ili akitokea mwingine kwenye tatizo kama lako asipate shida. **
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Tusimlaumu Godfrey Godi Kabisa.

Hii ni ushuhuda tosha umahiri waliokuwa nao members wa JF wa wakati huo, ambapo kulikuwa na msaada wa haraka na uhakika kuhusu post zilizoletwa jamvini.

Once upon a time there was a blog known as Jamboforum, which later became known as Jamii forum.

The forum was like an encyclopedia where you could get any kind of information from member on any matter ranging from education to entertainent, suffice is to state that it was cross cutting....

But, alas today........
 
Kaka yangu mwanakijiji na wanajf wengine, naombeni mnisaidie kupata bei ya maji safi kwa unit moja zinazotozwa na mamlaka za maji za mikoa yote ya tz. Najua ni kazi ngumu kaka lakn nisaidie. Nazihitaji data hizo ili niweze kulinganisha na mkoa wetu wa shy. SHUWASA wamepandisha bei kwa takrban 90%, wananchi tunapinga. Data hizo zitasaidia ktk kuwasilisha malalamiko yetu kwa ngazi zinazohusika kabla ya kuwahamasisha watu wachukue hatua ya kupinga unyonyaji huu. Mods naomba msiitoe thread yangu hadi ntakapopata majibu. Nisaidie.[/QUOTE

Kawaida kabla ya kupandisha bei ya maji mamlaka husika hupeleka maombi ewura kibali cha kuongeza gharama za maji.

Baada ya maombi kupokelewa normally kunatolewa, ni lazima, matangazo magazetini kuwa kutakuwa na public hearing na wadau wote, pamoja wa wananchi, wanatakiwa kufika na kutoa maoni.

Kwenye hiyo hearing mamlaka husika hutoa maombi yake na wadau hutoa maoni kwa nini wanaona si sahihi bei kupanda. Mamlaka ewura baada ya hapo hutoa approval ya kupandisha bei ya huduma, na hiyo ndio huwa bei halali tokea hapo.

Sasa godfrey swali la msingi ni ulihudhuria kwenye hio hearing? Au ni mmoja wa watanzania mamilioni tunaoanza kusoma gazeti kuanzia ukurasa wa michezo na kusema nimesoma gazeti la leo?

Kama hukufanya ni dhahiri kuwa ulipoteza haki yako muhimu sana ya kusikilizwa.

Anyway kama bado unakerwa na kukwazika na uamuzi huo muone wakili wako ambaye atakuelewesha taratibu za kufuata kuzuia kutumika hizo rates mpya za huduma.
 
bora mpuuzi mwenye effort ya ku research data za nchi yake ndani ya nchi yake kuliko laggard anaetaka kutafuniwa na kutafutiwa data za Tanzania na mtu wa Marekani. Mtu yuko Detroit suburbs atajuaje bei ya maji Shinyanga wakati hajawahi kununua maji Tanzania karne hii. Anakoishi kuna mito ya maziwa na mabomba ya asali, hawezi kukutatulia adha za maji Tanzania kutokea Marekani. Jenga nchi yako.

We unamatatizo gani kama wewe unazijua hizo data si uzimwage hapa. Kazi kujiproud tu kumbe labda hata hujui chochote. Huyu jamaa ameuliza nadhani kwa mtu ambaye ana akili, anachotakiwa kufanya ni kujibu au kumwelekeza sehemu atakapo weza kuzipata sasa unaanza kuleta story nyingi na kujifanya unajua. Sasa kama unajua ndo time yako kuzitoa. Be careful usijifanye unajua kumbe unajua kimoja kati ya mia.
 
Back
Top Bottom