Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Hakunaga dawa ya kupunguza mwili, hyo ni utapeli tu, ata kama zipo dawa za kupunguza apetite ila kama anakula vyakula vyenye calories nyingi ni kaz bureIpo dawa ya kupunguza mwili elf10 tu ni ya asili matokeo ni chap within a week unaona changes..na imetengenezwa kwa vitu asili 100%....vitambi manyama uzembe ile ndo kiboko yake walengwa mnaohitaji mnione