Naombeni msaada wa matibabu ndugu zangu

Ipo dawa ya kupunguza mwili elf10 tu ni ya asili matokeo ni chap within a week unaona changes..na imetengenezwa kwa vitu asili 100%....vitambi manyama uzembe ile ndo kiboko yake walengwa mnaohitaji mnione
Hakunaga dawa ya kupunguza mwili, hyo ni utapeli tu, ata kama zipo dawa za kupunguza apetite ila kama anakula vyakula vyenye calories nyingi ni kaz bure
 
Mficha maradhi kifo humuumbua.

Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,

Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa

Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani

Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
Pole sana!
 
Hacha kula vyakula vyenue calories nyingi, usipende nyama, usile sana vyakula vya mafutamafuta, kula mchana ugali na maharage jion wali na kabichi au wali na mboga za majani, fanya hvyo mwezi moja, utazoea ukipita siku ya 21 na baadae mwili utapungua wenyewe,
Miguu kuvimba ni kwakuwa stress inayopata ni kubwa, na kilo 96 ni nyingi sana kwa mwanamke
Unajua ugali na wali una calories kias gani mkuu.
 
Nashukuru mkuu
Mkuu unafahamu mti unaitwa parasite Tree?? Sijui kwa kiswahili unaitwaje ila ni mti fulani ambao hua unaota juu ya miti mwingine then ule mti uliootewa kwa juu hua unakufa. Miti hii kwa makabila mengi Tz ni common katika Shughuli za kutambika mizimu wamasai pia huutumia kutambika.

Hua unamizizi midogo na mikubwa inayoninginia kutoka juu ya matawi basi chukua hiyo mizizi midogomidogo iponde kidogo tu ilainike kisha ichemshe, ukiichemsha ipua kisha jikande/massage hapo kwenye miguu kwa kutumia mizizi hiyo ikiwa na moto kiasi. Faya hivyo mara kwa mara inaweza kusaidia. Enzi hizo tulikua tunaitumia tukiumia tukitoka kucheza mpira hasa tukiteuka au maumivu ya kukanyagwa na viatu.
Jaribu dawa hii labda inaweza kusaidia...

Kwa huku kwetu miti hii ipo kwa wengi hapo kwenye ukuta wa AICC mkabala/opposite na Mount Meru Hospital. Yaani ukisimama geti la kuingia hospital hapo ukiangalia ukuta wa AICC unaiona hiyo miti ipo mingi sana. Wewe nenda chuma mizizi yake wala hutashikwa.
images (12).jpeg
 
Tatizo lako ni uzito mkubwa kupitiliza..
Fanya mazoezi saana, zingatia chakula (diet) , acha kabisa kitu kinaitwa wanga, acha kula wali, ugali, chapati na vitu vya namna hiyo, punguza kula nyama nyekundu, kula samaki, mboga majani, kuku ,maharage kidogo
Narudia acha kabisa kula ugali,wali na chapati...fanya mazoezi .
Niliwahi kuwa na tatizo la uzito mkubwa mpaka diabetes ikanisumbua kwa zaidi ya miaka miwili then nikaamua kubadili mfumo wa maisha kwa kuacha wanga plus mazoezi, saizi nimekuwa trainer wa watu wenye shida kama nyinyi nikipata muda, sina kitambi tena only six P... Sina kisukari all matatizo ya afya yameisha..Kuna mtu anaitwa Dr boaz anashauri ule nini (simfanyii matangazo but nakupa njia) nenda kwenye page yake IG utaniona how I have transformed myself kwa kuacha wanga
 
Fasting ni kiboko, sema wengi hawawezi. Mie pia ni shuhuda wa hili.
Unajua mkuu watu wengi wanataka waambiwe lugha laini laini,hawataki kuteseka/kujikaza.Ila kupungua mwili lazima usote,Kama ulivyo enjoy kula kula hovyo then lazima uenjoy hivyo hivyo msoto wa kupunguza huo mwili.
 
Sina dalili ya kidney disease bna,halafu asubuhi nikiamka niko normal
Hivi sex inasaidia??
Pana umbali gani kutoka home kwako na kazini, kama kuna umbali kiasi basi jaribu kwenda kazini kwa mguu, aisee gari au bodaboda zinatulemaza tunaleta mrundikano wa magonjwa
 
Mficha maradhi kifo humuumbua.

Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,

Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa

Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani

Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
Pole unatatizo Kama langu,Mimi kuvimba kumezidi navimba miguu,mikono haya na uso
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom