wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,275
Nitafute nikufundishe jinsi ya kutengeneza dawa mwenyewe nyumbani ndani ya siku 7 matokeo utayaonaSawa mkuu nashukuru
Nitafute nikufundishe jinsi ya kutengeneza dawa mwenyewe nyumbani ndani ya siku 7 matokeo utayaonaSawa mkuu nashukuru
Kuna Wapuuzi wameshakutamaniMficha maradhi kifo humuumbua.
Naombeni mnisaidie nipone huu ugonjwa
Mimi ni bonge kiasi nina kg 96,niliambiwa niwe nakunywa maji mengi.tatizo likazidi,
Niimeambiwa nisinywe maji mengi ni mabaya kwa mwili wangu hata sielewi
Nikilala usiku asubuhi naamka miguu iko poa
Nikisimama simama cause kazi yangu inainvolve kusimama simama ndo kama hivo yaani
Inanikera kusema kweli
Mwenye dawa pls maana humu watu wengi na wataalamu wengiView attachment 2024605View attachment 2024607View attachment 2024608
PajaPicha tenq
Mazoezi sina muda ndo shida.labda niende asubuhi saa 10/11
Sasa itawezekana kweli
Nimecheki gym nyingi around me wanafunga saa 3
Na mapersonal trainer nimeona wako ghali sana.
Sawa mkuuNunua spinning bike. Uwe unafanyia mazoezi nyumbani tu
Nikutafute ???Nitafute nikufundishe jinsi ya kutengeneza dawa mwenyewe nyumbani ndani ya siku 7 matokeo utayaona
Duuh kazi sasaPole sana ndugu yangu! Tatizo hilo linaweza kupungua kwa mwezi mmoja,kama upo karibu tunaweza kuwasiliana ukapata msaada,mimi niko Mwanza!
nitaleta mrejesho,bado tiba inaendeleaI'm sorry bwana Iwas you just messing around. Natumaini ulifanikiwa kutatua shida yako tukilo tukapanda
Nilicheki figo.kidney stone inni .niko poa kabisa nikaambiwa nipunguze uzito .nilikiwa na kg 90 sasa nina 82 .haivimbi tena mkuukachek afya ya figo na main kwanza
Kula cerelac utanenepa sanaWengine tuna hangaika kuongeza hata kg 2,wengine wanahangaika kupunguza
Kama kilo zingekuwa zinahamishika,mumy ningekuomba unipe kg 10
Inauzwa wapi mkuu??Nunua spinning bike. Uwe unafanyia mazoezi nyumbani tu
Inauzwa wapi mkuu??
Roughly sh ngapi mkuu??Kwenye maduka ya vifaa vya gym. Kariakoo.
Spinning bike kwa lugha nyingine wanaita stationary bike
Lazima ujue uzito wa mtumiaji kwanza kabla hujanunua. Ili usije nunua ndogo sana ama kubwa sana
mpya around laki 7 za uzito wa wastaniRoughly sh ngapi mkuu??
Shukrani mkuumpya around laki 7.
mcheki jamaa ana duka la vifaa vya gym kariakoo 0692 275 229