Isumbue na nini.....Haisumbui
Supu ya mbuzi njoo uchukueIsumbue na nini.....
Hivyo vidonda vinasumbuliwa na vitu vyenye acid tangawizi, pilipili, ndimu, nk
Piga pantoprazole miezi yako mitatu maisha yaendelee usivilee kama unalea mayai.
Unakula supu ya nini kwanza? Naomba na mie
😋😋😋😋😋Supu ya mbuzi njoo uchukue
Soup inaongeza nguvu ya dawa maana hiyo ni nyama protein Haina shida zaidi Ina faidaSawa kaka je kama unatumia dawa supu inaweza kupungiza nguvu ya dawa