FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
Wakuu naombeni mwenye uwezo au conection ya kunipeleka ulaya anisaidie niepukana na haya maisha ya kifukara.
Mara mia nikawe fukara huku duniani kuliko kuwa fukara hapa nyumbani.
Mimi kazi yoyote ile nafanya, isipokuwa kuolewa.
Sihitaji ushauli wa kujiajiri sababu sina mtaji. Hapa tu niko kwenye intarnet cafe hapa msasani napeluzi JF nimelipia.
Sina simu ya kusema niuze nipate mtaji.
Mara mia nikawe fukara huku duniani kuliko kuwa fukara hapa nyumbani.
Mimi kazi yoyote ile nafanya, isipokuwa kuolewa.
Sihitaji ushauli wa kujiajiri sababu sina mtaji. Hapa tu niko kwenye intarnet cafe hapa msasani napeluzi JF nimelipia.
Sina simu ya kusema niuze nipate mtaji.