Habari wakuu. Poleni na majukumu.
Kuna rafiki yangu ametumika kama mzamini wa mtu fulani ambae alikopa kwenye hizi Microfinance Institute na huyo aliyekopa amekimbia, sasa burden ya kulipa deni imemwangukia mzamini.
Lakini mimi kama mimi nimejaribu kupitia huo mkataba wa yule jamaa aliekopa sijaona STAMP inamanisha uko mkataba auna stamp duty atuwezi kutumia kipingele hicho kwenye mkataba kama invalid contract na muanga akagoma kulipa hilo deni baada ya mkopaji kukimbia.
Msaada wa watalaam wa sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rafiki yangu ametumika kama mzamini wa mtu fulani ambae alikopa kwenye hizi Microfinance Institute na huyo aliyekopa amekimbia, sasa burden ya kulipa deni imemwangukia mzamini.
Lakini mimi kama mimi nimejaribu kupitia huo mkataba wa yule jamaa aliekopa sijaona STAMP inamanisha uko mkataba auna stamp duty atuwezi kutumia kipingele hicho kwenye mkataba kama invalid contract na muanga akagoma kulipa hilo deni baada ya mkopaji kukimbia.
Msaada wa watalaam wa sheria
Sent using Jamii Forums mobile app