Dawa Ya Deni Ni Kulipa!,jamani Naombeni Msaada Wa Kisheria Kuna Jamaa Alinikopesha Hela Ya Riba Laki Nne400000 Ambapo Nilitakiwa Nimlipe Laki Sita,nilikubali Coz Nilikuwa Na Matatizo Nimemlipa Laki Nne Tayari,laki Mbili Bado Coz Mambo Yangu Saiz Hayako Poa Lkn Jamaa Ananisumbua Kila Tukikutana Ananinyang'anya Vitu Mpaka Leo Kanipoka Baiskel Na Simu Mbili Tecno L8 Na Itel Ndogo,nikategemea Tumemalizana Lkn Leo Kanivua Viatu Mbele Ya Watu ,nimejisikia Vibaya,naombeni Msaada Wa Kisheria Coz Nimechoka Kwa Tabia Anazonifanyia,nifanyaje Wadau