Jimmy GP
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 253
- 139
Wanajamii Foram mimi nina mke ni mjamzito wa miezi nane, sasa huyu mwanamke kabla hajawa mjamzito n mvivu sana na anadeka kupitiliza yaani inakuwa kero mpaka nikienda kazini natamani nisirudi home mapema angalau awe amelala nikija na mm ni kulala tu.
Sasa hapa home nina mfanyakazi wa kike ndiye anayeniandalia chakula, maji ya kuoga ndiye anayepika nk nikimwomba mke wangu anasema simhurumii kwamba nampa kazi wakati yeye n mjamzito
Basi nimekaa nikaona nisimpe kazi hata moja nikawa nafua nguo zote napiga usafi home fresh namsaidia mfanyakazi kupika namwandalia chakula nk sasa tukiwa kwa bed anataka tusex namwambia wewe si mjamzito utawezaje kusex wkt hauko vzr? Anasema nina mwanamke mwingine nje ndio maana sitaki kusex naye....
Aisee najaa sana upepo basi tu, Sasa juzi alienda hospital wkt mm niko job nikamuuliza wamekuambiaje akasema ameambiwa apumzike asifanye kazi nikamwambia pumzika tu, matokeo yake n kwamba jana kafua nguo wkt mm niko job nilivyorudi nikamuuliza wewe si umeambiwa upumzike iweje umefua? Akanuna,
Sasa kuna nguo zilikuwa zimebakia na nyingine ni zile nilizokuwa nimevaa nikamwomba aziloweke mm nifue akakasirika kwamba namwonea simhurumii
Nimekasirika sana namwona kama mzugaji tu maana kuzurura anazurura kazi hafanyi anajifanya mimba na nikiwa kazini ananisumbua kuja home nikija home anajidekeza mm ananiboa sana wandugu naombeni ushauri kabla sijatafuta mchepuko maana nimechoka haya maisha
Nisaidieni kwa kweli
Afu jambo jingine tena nina marafiki zangu wa kiume ambao kdg wao ma mm age n tofauti kdg sasa anasemaga aah wewe n mdogo kwa flani na flani n mdogo sana, namwambia n kweli maana wao n mabrother ila n rika moja, sasa kumbe kule kuniona mdogo ndio inampa nafasi ya kunidharau na kuniongelesha hovyo kunipa kazi kama yeye ndio mume nk aisee nisaidieni kwakweli nisije kunwacha huyu mwanamke
Sasa hapa home nina mfanyakazi wa kike ndiye anayeniandalia chakula, maji ya kuoga ndiye anayepika nk nikimwomba mke wangu anasema simhurumii kwamba nampa kazi wakati yeye n mjamzito
Basi nimekaa nikaona nisimpe kazi hata moja nikawa nafua nguo zote napiga usafi home fresh namsaidia mfanyakazi kupika namwandalia chakula nk sasa tukiwa kwa bed anataka tusex namwambia wewe si mjamzito utawezaje kusex wkt hauko vzr? Anasema nina mwanamke mwingine nje ndio maana sitaki kusex naye....
Aisee najaa sana upepo basi tu, Sasa juzi alienda hospital wkt mm niko job nikamuuliza wamekuambiaje akasema ameambiwa apumzike asifanye kazi nikamwambia pumzika tu, matokeo yake n kwamba jana kafua nguo wkt mm niko job nilivyorudi nikamuuliza wewe si umeambiwa upumzike iweje umefua? Akanuna,
Sasa kuna nguo zilikuwa zimebakia na nyingine ni zile nilizokuwa nimevaa nikamwomba aziloweke mm nifue akakasirika kwamba namwonea simhurumii
Nimekasirika sana namwona kama mzugaji tu maana kuzurura anazurura kazi hafanyi anajifanya mimba na nikiwa kazini ananisumbua kuja home nikija home anajidekeza mm ananiboa sana wandugu naombeni ushauri kabla sijatafuta mchepuko maana nimechoka haya maisha
Nisaidieni kwa kweli
Afu jambo jingine tena nina marafiki zangu wa kiume ambao kdg wao ma mm age n tofauti kdg sasa anasemaga aah wewe n mdogo kwa flani na flani n mdogo sana, namwambia n kweli maana wao n mabrother ila n rika moja, sasa kumbe kule kuniona mdogo ndio inampa nafasi ya kunidharau na kuniongelesha hovyo kunipa kazi kama yeye ndio mume nk aisee nisaidieni kwakweli nisije kunwacha huyu mwanamke