Naombeni msaada wa haraka kwa kweli

Naombeni msaada wa haraka kwa kweli

Wanajamii Foram mimi nina mke ni mjamzito wa miezi nane, sasa huyu mwanamke kabla hajawa mjamzito n mvivu sana na anadeka kupitiliza yaani inakuwa kero mpaka nikienda kazini natamani nisirudi home mapema angalau awe amelala nikija na mm ni kulala tu.

Sasa hapa home nina mfanyakazi wa kike ndiye anayeniandalia chakula, maji ya kuoga ndiye anayepika nk nikimwomba mke wangu anasema simhurumii kwamba nampa kazi wakati yeye n mjamzito

Basi nimekaa nikaona nisimpe kazi hata moja nikawa nafua nguo zote napiga usafi home fresh namsaidia mfanyakazi kupika namwandalia chakula nk sasa tukiwa kwa bed anataka tusex namwambia wewe si mjamzito utawezaje kusex wkt hauko vzr? Anasema nina mwanamke mwingine nje ndio maana sitaki kusex naye....

Aisee najaa sana upepo basi tu, Sasa juzi alienda hospital wkt mm niko job nikamuuliza wamekuambiaje akasema ameambiwa apumzike asifanye kazi nikamwambia pumzika tu, matokeo yake n kwamba jana kafua nguo wkt mm niko job nilivyorudi nikamuuliza wewe si umeambiwa upumzike iweje umefua? Akanuna,

Sasa kuna nguo zilikuwa zimebakia na nyingine ni zile nilizokuwa nimevaa nikamwomba aziloweke mm nifue akakasirika kwamba namwonea simhurumii

Nimekasirika sana namwona kama mzugaji tu maana kuzurura anazurura kazi hafanyi anajifanya mimba na nikiwa kazini ananisumbua kuja home nikija home anajidekeza mm ananiboa sana wandugu naombeni ushauri kabla sijatafuta mchepuko maana nimechoka haya maisha

Nisaidieni kwa kweli

Afu jambo jingine tena nina marafiki zangu wa kiume ambao kdg wao ma mm age n tofauti kdg sasa anasemaga aah wewe n mdogo kwa flani na flani n mdogo sana, namwambia n kweli maana wao n mabrother ila n rika moja, sasa kumbe kule kuniona mdogo ndio inampa nafasi ya kunidharau na kuniongelesha hovyo kunipa kazi kama yeye ndio mume nk aisee nisaidieni kwakweli nisije kunwacha huyu mwanamke
Unaijua vizuri sura ya mbuzi tena beberu?kama ndiyo,badilisha sura yako fasta hata kama ni mjamzito mpaka awe mjamwepesi.hakuna ushauli zaidi ya huo nlokupa
 
Unaijua vizuri sura ya mhuzi tena beberu?kama ndiyo,badilisha sura yako fasta hata kama ni mjamzito mpaka awe mjamwepesi.hakuna ushauli zaidi ya huo nlokupa
Wanawake wengine wanajifanya mimba inawachanganya ila kumbe n ili akutese tu aaaah
 
Wanawake wengine wanajifanya mimba inawachanganya ila kumbe n ili akutese tu aaaah
Mtu mzima ni mtu mzima tu anajua nini afanye na nin asifanye,madeko ya ajabu ajabu nimetoka kupambana nayo mimi juzi,kila wakati naacha biashara nachoma mafuta kurudi home kuzania mtu kazidiwa,nakimbiza hospital na Dr anaishia kuturudisha home,bafu halisafishwi.mtu amekua kama mlemavu wakati nikisema twende nimpeleke ziwani akapungwe upepo anakimbia kutafuta pamba utadhani ni mtoto wa chekechea.Ah!
 
Wanajamii Foram mimi nina mke ni mjamzito wa miezi nane, sasa huyu mwanamke kabla hajawa mjamzito n mvivu sana na anadeka kupitiliza yaani inakuwa kero mpaka nikienda kazini natamani nisirudi home mapema angalau awe amelala nikija na mm ni kulala tu.

Sasa hapa home nina mfanyakazi wa kike ndiye anayeniandalia chakula, maji ya kuoga ndiye anayepika nk nikimwomba mke wangu anasema simhurumii kwamba nampa kazi wakati yeye n mjamzito

Basi nimekaa nikaona nisimpe kazi hata moja nikawa nafua nguo zote napiga usafi home fresh namsaidia mfanyakazi kupika namwandalia chakula nk sasa tukiwa kwa bed anataka tusex namwambia wewe si mjamzito utawezaje kusex wkt hauko vzr? Anasema nina mwanamke mwingine nje ndio maana sitaki kusex naye....

Aisee najaa sana upepo basi tu, Sasa juzi alienda hospital wkt mm niko job nikamuuliza wamekuambiaje akasema ameambiwa apumzike asifanye kazi nikamwambia pumzika tu, matokeo yake n kwamba jana kafua nguo wkt mm niko job nilivyorudi nikamuuliza wewe si umeambiwa upumzike iweje umefua? Akanuna,

Sasa kuna nguo zilikuwa zimebakia na nyingine ni zile nilizokuwa nimevaa nikamwomba aziloweke mm nifue akakasirika kwamba namwonea simhurumii

Nimekasirika sana namwona kama mzugaji tu maana kuzurura anazurura kazi hafanyi anajifanya mimba na nikiwa kazini ananisumbua kuja home nikija home anajidekeza mm ananiboa sana wandugu naombeni ushauri kabla sijatafuta mchepuko maana nimechoka haya maisha

Nisaidieni kwa kweli

Afu jambo jingine tena nina marafiki zangu wa kiume ambao kdg wao ma mm age n tofauti kdg sasa anasemaga aah wewe n mdogo kwa flani na flani n mdogo sana, namwambia n kweli maana wao n mabrother ila n rika moja, sasa kumbe kule kuniona mdogo ndio inampa nafasi ya kunidharau na kuniongelesha hovyo kunipa kazi kama yeye ndio mume nk aisee nisaidieni kwakweli nisije kunwacha huyu mwanamke
Hapana mdogo wangu,msubiri ajifungue uone tabia yake kama itabadilika au la!kiukweli asilimia kubwa mimba uwabadilisha akili,hujawai kuona mwanamke mjamzito anashinda karibu na choo cha shimo eti anapenda ile arufu?bahada yakujifungua akai tena eneo lile?usichoke huo usumbufu mvumilie kwanza,pia kiumbe hicho tumboni ni mwanao,jitaidi asiudhike ovyo kwakuwa ni madhara kwa afya ya mtoto ,
 
Pole kwani hukumsoma tabia kipindi cha boyfriend&gf
Mvumilie azae yatapita hayo maana mjamzito huwa na vijitabia vya ajabu sana ( wasomi wanasema sijui hormone zinazidi)
Ok but yataka moyo
 
Back
Top Bottom