Naombeni msaada wa haraka jinsi ya kutrack simu iliyoibiwa

Naombeni msaada wa haraka jinsi ya kutrack simu iliyoibiwa

kingzard

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
637
Reaction score
809
Wakuu naomben msahada jins ya kutrack simu ...shida so kuipata simu ni kwamba mwizi kaiba simu,pikipiki na pesa taslimu laki 4 ....

Kwaio naomb njinsi ya kufanya nimpate uyo mwizi

Simu iliyeibiwa ni tecno w3
 
Pole sana. Ngoja waje wataalamu

Sent using samsung galaxy grand prime pro
 
Kama hukuweka pattern ama security yoyote omba mungu anaitumia bila kuflash ama kui format nenda playstore search device manager itakuja app inaitwa find device idownload kisha login na email ya simu iliobiwa na ujaribu kuitrack.

Alternative nenda polisi na imei.
 
Kama hukuweka pattern ama security yoyote omba mungu anaitumia bila kuflash ama kui format nenda playstore search device manager itakuja app inaitwa find device idownload kisha login na email ya simu iliobiwa na ujaribu kuitrack.

Alternative nenda polisi na imei.
Polisi wamenipiga tarehe awaeleweki ela yang imepotea tuu bure

mkuu kama una njia yoyot ya kunisaidia nisaidie mkuu nakulipa mkuu pliz nakuomba
 
Polisi wamenipiga tarehe awaeleweki ela yang imepotea tuu bure

mkuu kama una njia yoyot ya kunisaidia nisaidie mkuu nakulipa mkuu pliz nakuomba
Jaribu hio app niliyokutajia hapo juu. Ikishindikana huna ujanja ni polisi tu. Polisi ukiongea nao vizuri siku 1 tu anapatikana huyo aliekuibia.
 
Jaribu hio app niliyokutajia hapo juu. Ikishindikana huna ujanja ni polisi tu. Polisi ukiongea nao vizuri siku 1 tu anapatikana huyo aliekuibia.
polisi wanazingua na me natka kutrack laptop yngu ip address ninayo niongee nao vp au ka nawza pta msaad hmu utakua saf me ntalipa
 
polisi wanazingua na me natka kutrack laptop yngu ip address ninayo niongee nao vp au ka nawza pta msaad hmu utakua saf me ntalipa
Ip Ni ya network na sio ya laptop, network hio hio ukitumia kifaa chengine ip itakuwa moja.

Ngumu mkuu kuipata hio laptop unless uliset vitu kabla haijaibiwa.
 
Kama imeibiwa tecno pengine ungeenda ubalozi wa China ukajieleze
 
Back
Top Bottom