joel elias
Member
- Jul 21, 2019
- 34
- 14
- Thread starter
- #21
Mkuu nashukur sana umenipa mwangaHapo kuna vingi vya kusoma kama
Land management and valuation
Human resources
Journalism
Law
Education.
Health management system
Tourism
Sociology
Etc
Mkuu nashukur sana umenipa mwangaHapo kuna vingi vya kusoma kama
Land management and valuation
Human resources
Journalism
Law
Education.
Health management system
Tourism
Sociology
Etc
nafasi ya kubadilisha kwa matokeo yake bado ipo hata akifika chuon, hiyo room bado ipoUnauliza leo na wakati bado siku 7 dirisha lifungwe round ya kwanza
Haina sokoWakuu kuna koz inaitwa bachelor of science in infrastructure planning and housing ina soko na ni nzur!? naomb msaada kwa yeyoyte
Huu mwandiko unatia shaka.Hata kama nmekukera hayo hayakuw majib ya kumpa mtu kiutu jaman so vzur ni bora ungeacha tu kujib kulko ivo ni kwel huenda nmekukera lakin nmeuliza ili nipate msaada so isingekuw sabab ya kufanya ivo coz hii ni lyf en its a cirlce hujui kesho yako.am sorry kama nmekukosea ila ndo ukwel huo inaumiza mim ni mwanafunz kama navowez akaw mtot wako akaja kwako umsaidie kiushauri.
Daaah! Vp land managementHaina soko
Kwa nnHuu mwandiko unatia shaka.
Mwanzio nataka kusomaPole km unaweza pia kuanzisha shamba la ufuta maeneo ya Lindi Liwale au Nachingwea ukalima vyema sana baada ya miaka 3 utawaajiri wenzako wanaoenda chuoni leo.
VETA hawaangalii combiSas hata kama sijui hgl na ufund umeme wap na wap mkuu acha
Hii nzuri sana tu ipo pale Ardhi University ila hakikisha una div one na O level uwe na C ya mathematics. Tofauti na hapo hupatiDaaah! Vp land management
Duh mbon sasa kwenye maths o level wanademand D then unasema ivo kuna mantiki gan hapo mkuu naomb ufafanuzHii nzuri sana tu ipo pale Ardhi University ila hakikisha una div one na O level uwe na C ya mathematics. Tofauti na hapo hupati
Thanks sana mkuuSoma community dvp, public health, business administration,hizo mbili za juu ukipata kwenye miradi ya afya umetoboa na ndo wanazihitaji zaidi au Soma sociology hutojuta
HehehehehSas hata kama sijui hgl na ufund umeme wap na wap mkuu acha
Ama nene!!Heheheheh
Shida yako ni nini hasa?
Naona umeghadhabika kisa umeambiwa uende VETA
Kama unataka kujiajiri nenda zako Veta ukasomee fani fasta uanze kuzichanga kitaa
Maana inaonekana hujui unachotaka .
Huna malengo
Una kwenda kwa nguvu ya upepo tu
Hakuna Kozi hisiyo na ajira.. kama ingekuwa hivyo hisingekuwepo Vyuoni.
Swala la kozi na ajira ni tofauti.. Unawez kuwa Daktari na ukakosa Kazi vilevile.. we soma chochote tu mkuu unachokipenda na unachoona una kimudu vzr! Sio uambiwe cjui kozi fulani ina ajira kwa sasa! Je, unajuaje baad ya miaka 3 ijayo itakuwaje?
Mkuu inahitaji Sana utulivu na kujituma na creativity kubwa sana ila ni nzuri sana tena sana maana kuna project nyingi zinazodemand arts and designing kwa kipindi hiki...... Mungu amjalie mdogo wetu afanye vizuri akutume and atoe everything kwenye career yake atafanikiwa tu.....Naomba kujuzwa kuhusu arts and designing
Mwanangu kaomba hii,ana kipaji kikubwa sana cha kuchora,
Sijui kwa undani nini hasa vipo huko kwe mchepuo huo