joel elias
Member
- Jul 21, 2019
- 34
- 14
Naombeni msaada nimesomea HGL Je, ninaweza kusomea nini kwa sasa ambacho kitaniwezesha kujiajiri au kuajiriwa encase kimoja hakijawezekana kingine kitumike kuendelezea maisha.
Kaka application za vyuo wala hazina kaz though nishaomba lakin najiuliza hata majib yakija nicomfirm ip coz nmeomba nyingnyingUnauliza leo na wakati bado siku 7 dirisha lifungwe round ya kwanza
Thanks kakacoz yoyote unaweza ajiliwa mkuu inategemeana na upepo wa mwaka utakaomaliza mana saiz ajira kote ngum ko kuajiliw imebak bahat tu
Vip mkuu kuhusu hii koz inaitwa bachelor of science in unfrastructure planning and housing ikoje na soko lakecoz yoyote unaweza ajiliwa mkuu inategemeana na upepo wa mwaka utakaomaliza mana saiz ajira kote ngum ko kuajiliw imebak bahat tu
Bas sawaa brooIyo ata mm siijui kaka
Kujiajiri hakusomewi, ni ujanja wako na mtaji wako tu kijana!Lakn unawez kujiajir au kuajiriw kuptia hzo kwa ss?
Kwani ndoto zako ni kuwa nani professionally? Ukishasema ndoto zako ni kuwa nani, itakuwa ni rahisi kwetu kukushauri usome kozi gani ili kutimiza ndoto zako.Wakuu kuna koz inaitwa bachelor of science in infrastructure planning and housing ina soko na ni nzur!? naomb msaada kwa yeyoyte
Sas hata kama sijui hgl na ufund umeme wap na wap mkuu achaNenda VETA kasome ufundi umeme au welding .
Itakusaidia sana ndugu
Law,zipo nying sana kama
.bachelor of art with education
.bachelor of art in education
.bachelor of art in public relations and marketing
.human resources
.political science
.health management
.public administration
.sociology
.social work
.mass communication
.jounalism
e.t.c
Mkuu utakuw umenisoma vibaya lengo lang hapo skutaka ushauri bal niltaka maelezo kwa anayeifahamu hiyo koz inakuw inahusiana na nin ndo ilikuw main point haswa kwa sabab ndo nmetokea kuipenda sanaKwani ndoto zako ni kuwa nani professionally? Ukishasema ndoto zako ni kuwa nani, itakuwa ni rahisi kwetu kukushauri usome kozi gani ili kutimiza ndoto zako.
Ni vema kuwa na malengo mahususi na sio kufuata mkumbo tu!
Hapo kuna vingi vya kusoma kamaNaombeni msaada nimesomea HGL Je, ninaweza kusomea nini kwa sasa ambacho kitaniwezesha kujiajiri au kuajiriwa encase kimoja hakijawezekana kingine kitumike kuendelezea maisha.