Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Pole sana kwa mapito unayopitia. Mimi ningependa kufahamu kwanza kama wazazi wako wote wawili wapo hai na pia mahusiano yako na wao yapoje?
utamrudisha ninawi..kutegemea wazaz badala ya wao wamtegemee...kama umewza kumiliki simu wew ni mtu mzima tayari...msaidie asaidie wazaz wake..na sio wazaz wamsaidie