Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

Imetembea kilometers ngapi?
Dah watu mnamaswali kinyama. Ha ha ha


Mleta mada lazima akalale tu naona ni mgen na jf,wengine tumekuja kusoma koment za kijinga ,,za msingi mim czitaki
 
yaan wew kwli unahitaji mshauri saikolojia.....hebu wazo la.kuolewa liondowe kwasasa wekeza zaidi kujiajiri...tafuta kamradi kokote kal my dear.sema sisi wanawake wa mijini tunabagua kazi jaman...sijui tuna nn...usibague kazi..natamani nikupe mifano yangu mm wenyewe...suala la.kuolewa piga chini..tafuta hela.utaona wanaume watakavyomwagika kwako...
 
kuolewa sio.dili..mimi ningekuwa na akili nilizonazo sasa kwakweli nisingeolewa....ukiolewa unabanwa mnoo kila.kitu unachowaza kufanya unafikiria mume...mie kakangu anapiga pesa za madini musoma huko nataman kumjoin lakini ndo nashindwa!ndoa!dadeki
Kwan umesha olewa?
 
kuolewa sio.dili..mimi ningekuwa na akili nilizonazo sasa kwakweli nisingeolewa....ukiolewa unabanwa mnoo kila.kitu unachowaza kufanya unafikiria mume...mie kakangu anapiga pesa za madini musoma huko nataman kumjoin lakini ndo nashindwa!ndoa!dadeki
Ndoa ni ndoano
 
Nimekaa nikawaza miaka na miaka
Kwanini sipati kazi nanikipata sidumu nimejaribu kujua nini tatizo sijaona ila kweli na shida kuolewa tabu madharau sina naheshimu kila mtu na pia sinaga ugomvi wala chuki.
Watu wananipendaga sana sio mtaani au maofisini ila kuolewa ngumu kila mtu anashangaa naombeni msaada umri unaenda ila sioni faida .
Yaani nimekata tamaa.
Naona niende kule kama wengine.
Naombeni msaada mahali pakwenda ni wapi?
Ambapo sintajutia hela yangu.
Kwa maana na hitaji suluhisho .
Kwa ambaye anamjua mtaalamu mzuri naomba ani pm.
Nipo serious so nahitaji na mtu ambaye yupo makini kunisaidia.
Asanteni kwa muda wenu naamini nitasaidika.
Kama upo serious nitafute nikupe ramani
 
Dah watu mnamaswali kinyama. Ha ha ha


Mleta mada lazima akalale tu naona ni mgen na jf,wengine tumekuja kusoma koment za kijinga ,,za msingi mim czitaki
Huenda imetembea sana Mkuu watu wakijaribu wanaona maji marefu wanakaa pembeni
 
Huenda imetembea sana Mkuu watu wakijaribu wanaona maji marefu wanakaa pembeni


na akijichomeka tu kwenda kwa hyo miganga ya kienyeji kwisha habari yake...hivi hizo stress jaman had umfikirie mganga wa kienyeji sijui wanwake tunawazaga nn...watamlia pesa zake na asiolewe
 
Back
Top Bottom