Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

EveLady

Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
30
Reaction score
43
Nimekaa nikawaza miaka na miaka kwanini sipati kazi nanikipata sidumu nimejaribu kujua nini tatizo sijaona ila kweli na shida kuolewa tabu madharau sina naheshimu kila mtu na pia sinaga ugomvi wala chuki watu wananipendaga sana sio mtaani au maofisini ila kuolewa ngumu kila mtu anashangaa naombeni msaada umri unaenda ila sioni faida .

Yaani nimekata tamaa naona niende kule kama wengine naombeni msaada mahali pakwenda ni wapi ambapo sintajutia hela yangu kwa maana na hitaji suluhisho kwa ambaye anamjua mtaalamu mzuri naomba ani pm nipo serious so nahitaji na mtu ambaye yupo makini kunisaidia asanteni kwa muda wenu naamini nitasaidika.
 
Yaani nimekata tamaa.
Ni makosa kukata tamaa.
Naona niende kule kama wengine.
Wapi??
Kwa ambaye anamjua mtaalamu mzuri naomba ani pm.
Hapana, Huu sio ufumbuzi hata kidogo.
Watu wananipendaga sana sio mtaani au maofisini ila kuolewa ngumu kila mtu anashangaa naombeni msaada umri unaenda ila sioni faida .
Je umejitafakari ni kwanini? inakuwa hivyo.
- Vipi kauli zako?
- Vipi tabia na mwenendo kwa ujumla?
Kwanini sipati kazi nanikipata sidumu nimejaribu kujua nini tatizo sijaona ila kweli na shida kuolewa tabu madharau sina naheshimu kila mtu na pia sinaga ugomvi wala chuki.
- Kwa hiyo kuna mawili unahitaji
1. Kazi.
2. Kuolewa.

My Take.
- Badili makazi, nenda kamsalimie shangazi/ndugu mkoa mwingine kaa japo miezi 6.
- Ukiwa huko iwe ni kiguu na njia kwenye nyumba za ibada,
- Hakika ndani ya huo muda huenda ukabahatika kumpata mwenza.
 
Ni makosa kukata tamaa.

Wapi??

Hapana, Huu sio ufumbuzi hata kidogo.

Je umejitafakari ni kwanini? inakuwa hivyo.
- Vipi kauli zako?
- Vipi tabia na mwenendo kwa ujumla?

- Kwa hiyo kuna mawili unahitaji
1. Kazi.
2. Kuolewa.

My Take.
- Badili makazi, nenda kamsalimie shangazi/ndugu mkoa mwingine kaa japo miezi 6.
- Ukiwa huko iwe ni kiguu na njia kwenye nyumba za ibada,
- Hakika ndani ya huo muda huenda ukabahatika kumpata mwenza.
Hujakosea ni kweli uyasemayo
 
Back
Top Bottom