Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Nakumbuka moja ya comment yako uliwahi kusema kuwa unaponya Maumivu.
its true rafiki...hayo yaache tuš
Nakumbuka moja ya comment yako uliwahi kusema kuwa unaponya Maumivu.
Akienda tu kwa mganga, na mganga na yeye lazima asuze rungu kuna mwenzake aliltea story humu mganga alivyojisuzia rungu kiulaniiiina akijichomeka tu kwenda kwa hyo miganga ya kienyeji kwisha habari yake...hivi hizo stress jaman had umfikirie mganga wa kienyeji sijui wanwake tunawazaga nn...watamlia pesa zake na asiolewe
Mkuu which is which,kuja PM basi unidokezeits true rafiki...hayo yaache tuš
Mkuu which is which,kuja PM basi unidokeze
Akienda tu kwa mganga, na mganga na yeye lazima asuze rungu kuna mwenzake aliltea story humu mganga alivyojisuzia rungu kiulaniiii
una umri gani?Nimekaa nikawaza miaka na miaka kwanini sipati kazi nanikipata sidumu nimejaribu kujua nini tatizo sijaona ila kweli na shida kuolewa tabu madharau sina naheshimu kila mtu na pia sinaga ugomvi wala chuki watu wananipendaga sana sio mtaani au maofisini ila kuolewa ngumu kila mtu anashangaa naombeni msaada umri unaenda ila sioni faida .
Yaani nimekata tamaa naona niende kule kama wengine naombeni msaada mahali pakwenda ni wapi ambapo sintajutia hela yangu kwa maana na hitaji suluhisho kwa ambaye anamjua mtaalamu mzuri naomba ani pm nipo serious so nahitaji na mtu ambaye yupo makini kunisaidia asanteni kwa muda wenu naamini nitasaidika.
š³Kilometer ni muhimu kwa gari lolote la zamani, alafu sio mbaya ukaweka picha yako na ya chura itapendeza zaidi.
Nenda kwa Mwamposa
Nasikia ukitoka kesho unatakaziwa ndoa
hHhahaha we hornet wewe...we mpe madeal msaidje atok basi...ndoa kitu gan
Mim sijapenda uhandishi wako, samahani lakini
Nimekaa nikawaza miaka na miaka kwanini sipati kazi nanikipata sidumu nimejaribu kujua nini tatizo sijaona ila kweli na shida kuolewa tabu madharau sina naheshimu kila mtu na pia sinaga ugomvi wala chuki watu wananipendaga sana sio mtaani au maofisini ila kuolewa ngumu kila mtu anashangaa naombeni msaada umri unaenda ila sioni faida .
Yaani nimekata tamaa naona niende kule kama wengine naombeni msaada mahali pakwenda ni wapi ambapo sintajutia hela yangu kwa maana na hitaji suluhisho kwa ambaye anamjua mtaalamu mzuri naomba ani pm nipo serious so nahitaji na mtu ambaye yupo makini kunisaidia asanteni kwa muda wenu naamini nitasaidika.
Hamna kitu kizuri kama kuruhusu muda ukafanya kazi yake!
Put some efforts and wait for results!
Sasa mtu yuko desperate anataka ndoa anataka kazi kwa nguvu mwishowe anaangukia wrong choices
Si unajua kitakachofuata?!