Naombeni msaada kwenye hiii Nokia 6310

Naombeni msaada kwenye hiii Nokia 6310

GanaJr

Senior Member
Joined
May 26, 2020
Posts
120
Reaction score
215
Sijui nilibonyeza wapi hata sikumbuki.

Nilijikuta nikitype neno lolote inatamka neno au nikiandika namba inatokea sauti kutaja hiyo namba, kitaalamu wanaita (TALKBACK).

Imekuwa inanikera sana, nimejaribu sana kuiondoa ila nashindwa. Naombeni msaada wakuu Wangu.

20221211_183313.jpg
 
Back
Top Bottom