Phdum
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 812
- 1,667
Mkuu hard disk ikiwa haipo ingewaka then ikasema no bootable device ama neno linalofanania.hii laptop yangu aina ya lenovo nilimpa mtu atumie lakini baada ya kuirudisha nikiwasha kibatani cha kuwasha ndio hutoa mwanga na kisha inazima je ni imeharibika au watakuwa wamechomoa hard disk?
na je utajuaje kuwa laptop imechomolewa hard disk
hii laptop yangu aina ya lenovo nilimpa mtu atumie lakini baada ya kuirudisha nikiwasha kibatani cha kuwasha ndio hutoa mwanga na kisha inazima je ni imeharibika au watakuwa wamechomoa hard disk?
na je utajuaje kuwa laptop imechomolewa hard disk