Mesorphine
Member
- Oct 11, 2020
- 52
- 32
Hello wanajamii forum
Computer yangu aina ya Lenovo IdeaPad 110 imepatq changamoto hivi....
Ukiiwasha inawaka lakini ndan ya sekinde 5 inazima yenyewe na tatizo hili limeanza Jana tuu ila week hivi nilikua nikiwasha Inawaka ila kwenye battery status inaandika not charging then baada ya Dak 4 inazima.
Nimejaribu njia ya kutoa battery na then kuirusha ila bado ndio kabisa Inawaka na kizima chap.
Pia nimejaribu kutoa battery kabisa halafu nikaonganisha kwenye umeme lakini haiwaki kabisa.
Sasa ndugu zangu mnisaidie .....je ni adapter ndio yakubadilieha au battery peke yake au zote mana nawaza nikibadili vyote na isirudi katika Hali yake ya awali itakuwaje mana adapter 45k na battery 175k.
Naomba mwenye idea ili nijue kama nijaribu njia ipi au niwaze tuu kununua nyingne...
Computer yangu aina ya Lenovo IdeaPad 110 imepatq changamoto hivi....
Ukiiwasha inawaka lakini ndan ya sekinde 5 inazima yenyewe na tatizo hili limeanza Jana tuu ila week hivi nilikua nikiwasha Inawaka ila kwenye battery status inaandika not charging then baada ya Dak 4 inazima.
Nimejaribu njia ya kutoa battery na then kuirusha ila bado ndio kabisa Inawaka na kizima chap.
Pia nimejaribu kutoa battery kabisa halafu nikaonganisha kwenye umeme lakini haiwaki kabisa.
Sasa ndugu zangu mnisaidie .....je ni adapter ndio yakubadilieha au battery peke yake au zote mana nawaza nikibadili vyote na isirudi katika Hali yake ya awali itakuwaje mana adapter 45k na battery 175k.
Naomba mwenye idea ili nijue kama nijaribu njia ipi au niwaze tuu kununua nyingne...