Naombeni mnisaidie nielewe kuhusu wi_fi network

Naombeni mnisaidie nielewe kuhusu wi_fi network

miss confidence

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
393
Reaction score
273
Habari za Leo greater thinkers.... Mimi Nina shida kidogo naomba kueleweshwa na wajuzi wa haya mambo ..kuna mitaa huwa nikikatiza simu yangu inaandika available wi,_fi network but huwa siielewi hii wi_fi network. Naombeni mnielezee kuhusu wi_fi network niielewe.
 
Ukiweka wi-fi on unapata mtandao wa internet bure. Ila kuna nyingine zina password.
 
kwa uelewa wangu finyu, ni internet inayofungwa ktk ofisi au nyumba au tuseme popote pale wanalipia kwa mwaka sijui kwa mwezi so unakaa tu laptop au simu yako unasurf hakuna kujiunga kama mitandao yetu hii, ila kuna password, kwa mfano kama hapo unapopata taarifa simama washa data, washa wi fi, zitakuja list ya wi fi zilizofungwa maeneo ya jirani hapo, ukitaka kukonekti itataka password, kama unazo inakonekti hapo utaweza kuchat, kudownload au chochote kimtandao hata kama huna hata bundle wala balance
 
Habari za Leo greater thinkers.... Mimi Nina shida kidogo naomba kueleweshwa na wajuzi wa haya mambo ..kuna mitaa huwa nikikatiza simu yangu inaandika available wi,_fi network but huwa siielewi hii wi_fi network.naombeni mnielezee kuhusu wi_fi network niielewe
Kuna free Wi-Fi na zile zenye password... Sasa ikikwambia ivo fungua Wi-Fi yako, itaonesha jina la hiyo Wi-Fi kama haina kialama cha kufuli hiyo ni free kama inayo lazima uweke password ndo utumie
 
Kuna free Wi-Fi na zile zenye password... Sasa ikikwambia ivo fungua Wi-Fi yako, itaonesha jina la hiyo Wi-Fi kama haina kialama cha kufuli hiyo ni free kama inayo lazima uweke password ndo utumie
Ili kuitumia lazima niwe na bundle la mb au inakuaje mkuu??
 
Ili kuitumia lazima niwe na bundle la mb au inakuaje mkuu??
Hamna.. Wi-Fi hauwashi data unawasha Wi-Fi kwenye SIM yako itajiconnect direct. Inalipiwa kwa mwez kama ving'amuzi isipolipiwa inazimwa. Nchi za wenzetu kukunuaga data bundles kumepitwa na wakati Wi-Fi ndo inatumika sanasana
 
Hamna.. Wi-Fi hauwashi data unawasha Wi-Fi kwenye SIM yako itajiconnect direct. Inalipiwa kwa mwez kama ving'amuzi usipolipwa inazimwa. Nchi za wenzetu hakuna kukunuaga data bundles ni Wi-Fi tu
Shukrani mkuuu kwa msaada..
 
kwa uelewa wangu finyu, ni internet inayofungwa ktk ofisi au nyumba au tuseme popote pale wanalipia kwa mwaka sijui kwa mwezi so unakaa tu laptop au simu yako unasurf hakuna kujiunga kama mitandao yetu hii, ila kuna password, kwa mfano kama hapo unapopata taarifa simama washa data, washa wi fi, zitakuja list ya wi fi zilizofungwa maeneo ya jirani hapo, ukitaka kukonekti itataka password, kama unazo inakonekti hapo utaweza kuchat, kudownload au chochote kimtandao hata kama huna hata bundle wala balance
Shukrani sana aiseee I was not understand about this
 
itakuwa una wifi yako maeneo hayo
Hahaaaaaaaaaa... Yani umenifanya nicheke sana aiseeee sikutegemea jibu la hivi jamani nimetamani kungekuwa na audio comments nikacoment kicheko changu hapa.hahaaaaaa jamii forum home of the greater thinkers
 
Hamna.. Wi-Fi hauwashi data unawasha Wi-Fi kwenye SIM yako itajiconnect direct. Inalipiwa kwa mwez kama ving'amuzi isipolipiwa inazimwa. Nchi za wenzetu hakuna kukunuaga data bundles ni Wi-Fi tu
Kweli?hakuna bando?
 
Error: I was not understand about this.
Correct: I was not understanding about this.
Error: I was not understanding about this.
Correct: I was not aware about this.
Correct: I did't understand this.
Correct: I am not understanding this.
 
Back
Top Bottom