hansseverinn
New Member
- Mar 30, 2022
- 2
- 3
Kuna tenki la maji la ujazo wa lita 5000, sasa maji yamejaa viluilui na ndo yanayotumika kwa matumizi ya nyumbani. Kama kuna dawa ya kuua hao viumbe naomba nijulishwe tafadhali.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani