Ntopo Kilebente
Senior Member
- Apr 3, 2021
- 191
- 246
........ adhabu atampa mungu labda wewe ufanye harakati za kumfikisha kwa mungu haraka.
uyu nitampambana nae hapa hapa duniani........ adhabu atampa mungu labda wewe ufanye harakati za kumfikisha kwa mungu haraka.
Mkwara tu..huwezi mfanya loloteata kama nitatumia miezi miwili kufikilia adhabu ya kumpatia uyu msaliti ntatumia, ila kwa ili lazima akipate
Siku zote ulikuwa unaona baba mbaya kila wakikwaruzana na mama haya sasa jela hiyoo halafu we ni mahakama hadi jfanye hivyo nenda mahakamani watakusaidia ila jiandae kulipa fidia ya kunyanduaHabari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,
uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.
nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.
Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.
NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.
Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua
Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.
WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa
Yani huyu inatakiwa akifanya revenge, dem arudi nae na mjirevenge wake anampa papa dingi ake....Mkwara tu..huwezi mfanya lolote
We usimdanganye.!Mfundishaji ni Mungu
Tafuta mwanamke mpya tiana nae sanaaa
Sanaaa
utasahau.,
Kumbuka ukiua ni jela
Mie mwenyewe nataman ni post ila ngoja nikae na comment tu zitanipa cha kufanyaNyiiieeee nyieeeee kimeumanaaaa
pole mkuu, kwangu haiwezi kuwa ivyo, lazima nije na mrejesho hapa.Embu achana na mtt wa watu endelea na maisha yako...mm nilidate miaka 12...twelve good years at the end of the day nikaachwa...I went mad thank God there was a pastor I was able to share my problem with alinifanyia counciling ya kutosha! Also my you g sis may God bless her nikapona maisha yakaendelea...so move on
Achana naye na usijiumize moyo kwa kutaka kumbadili mwanamke mpenda uroda tabia.Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,
uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.
nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.
Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.
NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.
Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua
Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.
WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
nakuahakikishia jera sita kwenda kabisa, ila taabu lazima aipate iyo nimeweka nadhiri kabisa ata kama itachukua mwaka mzima lakini lazima nimpige tukio zitoMkuu inaonekanwa unahamu na jela
Acha nae tafuta mwengine Maisha yaendelee, Hasira siku zote hua ni hasara.
Yani huyu inatakiwa akifanya revenge, dem arudi nae na mjirevenge wake anampa papa dingi ake....
Anakula tunda miaka 8 anataka nini tena
roho inaniuma kwa ushenzi alio nifanyia, sio kwamba nampendaWewe huna lolote roho inakuuma bado unampenda, na pia wewe utakuwa na mapungufu yako maana yeye hatujamsikia anasemaje kuhusu wewe.
Ushafeli, huyo adhabu yake ilikuwa kupiga mimba tu. Kesi ya kimkun*" Inamalizwa kimkun*"mkind*". Hajakuzidi ujanja Ila ulipunic ungekuwa mpole umvizie kiume.
Nakushauri bado nafasi unayo Rudi ukalielie mpaka alegee umkojolee mpaka mimba.
adhabu yake ipo pale palesababu umeshaamua kumuadhibu naomba nisichangie lolote huko sababu mimi siamini kwenye hayo masuala labda kama ni reflex action(umefumania hapo hapo na huwez control ufanyacho)
ingekua vinginevyo ningekwambia tu ach kumuwaza (kuwaza kumuadhibu maana yake bado unamjali na kumpenda wewe,acha hizo mambo)
Roho inakuuma kwasababu unampenda. Na hutakuja kumsahau utateseka miaka na miakaroho inaniuma kwa ushenzi alio nifanyia, sio kwamba nampenda