Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa
Siku zote ulikuwa unaona baba mbaya kila wakikwaruzana na mama haya sasa jela hiyoo halafu we ni mahakama hadi jfanye hivyo nenda mahakamani watakusaidia ila jiandae kulipa fidia ya kunyandua
 
Embu achana na mtt wa watu endelea na maisha yako...mm nilidate miaka 12...twelve good years at the end of the day nikaachwa...I went mad thank God there was a pastor I was able to share my problem with alinifanyia counciling ya kutosha! Also my you g sis may God bless her nikapona maisha yakaendelea...so move on
 
Embu achana na mtt wa watu endelea na maisha yako...mm nilidate miaka 12...twelve good years at the end of the day nikaachwa...I went mad thank God there was a pastor I was able to share my problem with alinifanyia counciling ya kutosha! Also my you g sis may God bless her nikapona maisha yakaendelea...so move on
pole mkuu, kwangu haiwezi kuwa ivyo, lazima nije na mrejesho hapa.
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Achana naye na usijiumize moyo kwa kutaka kumbadili mwanamke mpenda uroda tabia.
No kama kumnyoa pundamilia nywele zote alafu kutegemea atakuwa sawa na Punda.
 
Mkuu inaonekanwa unahamu na jela

Acha nae tafuta mwengine Maisha yaendelee, Hasira siku zote hua ni hasara.
nakuahakikishia jera sita kwenda kabisa, ila taabu lazima aipate iyo nimeweka nadhiri kabisa ata kama itachukua mwaka mzima lakini lazima nimpige tukio zito
 
Wewe huna lolote roho inakuuma bado unampenda, na pia wewe utakuwa na mapungufu yako maana yeye hatujamsikia anasemaje kuhusu wewe.

Ushafeli, huyo adhabu yake ilikuwa kupiga mimba tu. Kesi ya kimkun*" Inamalizwa kimkun*"mkind*". Hajakuzidi ujanja Ila ulipunic ungekuwa mpole umvizie kiume.

Nakushauri bado nafasi unayo Rudi ukalielie mpaka alegee umkojolee mpaka mimba.
 
Wewe huna lolote roho inakuuma bado unampenda, na pia wewe utakuwa na mapungufu yako maana yeye hatujamsikia anasemaje kuhusu wewe.

Ushafeli, huyo adhabu yake ilikuwa kupiga mimba tu. Kesi ya kimkun*" Inamalizwa kimkun*"mkind*". Hajakuzidi ujanja Ila ulipunic ungekuwa mpole umvizie kiume.

Nakushauri bado nafasi unayo Rudi ukalielie mpaka alegee umkojolee mpaka mimba.
roho inaniuma kwa ushenzi alio nifanyia, sio kwamba nampenda
 
sababu umeshaamua kumuadhibu naomba nisichangie lolote huko sababu mimi siamini kwenye hayo masuala labda kama ni reflex action(umefumania hapo hapo na huwez control ufanyacho)
ingekua vinginevyo ningekwambia tu ach kumuwaza (kuwaza kumuadhibu maana yake bado unamjali na kumpenda wewe,acha hizo mambo)
 
sababu umeshaamua kumuadhibu naomba nisichangie lolote huko sababu mimi siamini kwenye hayo masuala labda kama ni reflex action(umefumania hapo hapo na huwez control ufanyacho)
ingekua vinginevyo ningekwambia tu ach kumuwaza (kuwaza kumuadhibu maana yake bado unamjali na kumpenda wewe,acha hizo mambo)
adhabu yake ipo pale pale
 
Back
Top Bottom