Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Yegho jajimbona watu wanaoitwa jaji kule kanda ya ziwa n weng sana karibia kila nyumba wapo😇🤕🤣😅
Yegho jajimbona watu wanaoitwa jaji kule kanda ya ziwa n weng sana karibia kila nyumba wapo😇🤕🤣😅
Mchezaji hawezi kuingia uwanjani bila kujua sheria za mpira.Wachezaji wote(Hapa tunaongelea professional players) huwa wanafundishwa sheria za mpira.Naomba nikupinge mkuu hii analogy yako sio sahihi.
Kila judge ni mwanasheria, kila wakili ni mwanasheria
Kwa upande wa pili kila refa anajua sheria za mpira lakini sio kila mchezaji anajua sheria za mpira.
Kujua kucheza mpira siyo kupiga chenga na kufunga magoli.Kujua kucheza mpira ni kujua sheria za mpira na ndiyo maana kama mchezaji ataingia uwanjani bila kujua sheria za mpira hatadumu uwanjani humo,ataondolewa fasta sana kupitia red card hata kama ni mpiga chenga mzuri na mfunga magoli mzuri.Vile vile kila mchezaji anajua kuchezea mpira lakini sio kila refa anaweza kuchezea mpira.
Ndio kusema hawana ground moja ya msingi wanapokutana.
Sifa ya umri kazini ni experience katika kuijua sheria na marefa wanakuwa na experience hiyo kutokana na idadi ya mechi walizochezesha na jinsi walivyojifunza kutokana na makosa yao.Kwa upande wa jaji na wakili wanakutana kwenye ground ya kuwa wanasheria wote, hivyo unaweza kusema kila judge anaweza kuwa wakili ikimpendeza, na kila wakili anaweza kuwa jaji ikiwa anasifa ya umri kazini na ikimpendeza mamlaka ya uteuzi.
Justice ni kitu gani!???Wakili ni mwanasheria ambaye amepewa leseni ya kumwakilisha mtu kwenye mambo ya kisheria mahakamani au anakuwa na nguvu kisheria ya kuandaa documents
Judge ni mwamuzi katika ngazi za mahakama kuu
Justice hao ni waamuzi katika mahakama ya rufaa
Wote ni wanasheria, jaji anakuwa mtumishi wa serikali mwenye cheo cha juu katika idara ya mahakama.Ninachojua kila Wakili lazima awe Mwanasheria na Huyu Jaji anasoma Elimu gani ya ziada ambayo inamtofautisha na Wakili ambapo nahisi nae Jaji Sheria nayo kasomea
Natanguliza shukrani kuuliza siyo ujinga.
Kuwa judge ni ceremonial post tuuJe, wakili anaweza kuwa Jaji? Afanye nini awe jaji?
Aah Asante sana Mkuu...Kuwa judge ni ceremonial post tuu
Anakuwa appointed hivyo basi wakili anaweza kuwa judge na pindi judge akistaafu anaweza fanya kazi za wakili akikizi vigezo
Hakimu ni kuanzia mahakama ya mwanzo mpaka mahakama ya hakimu mkaziAah Asante sana Mkuu...
Vipi pia Hakimu na Jaji ni wamoja? Au kuna tofauti?
Hakimu ni kuanzia mahakama ya mwanzo mpaka mahakama ya hakimu mkazi
Mahakama kuu na mahakama ya rufaa wanaitwa majaji
Mbali na kupima ukweli wa ushahidi wa upande mwingine mahakamani...Cross examination pia husaidia kuonesha kutokubaliana na yaliyosemwa na shahidi husika.Naomba nichomekee kidogo ,,hivi cross Examination ina umhimu katika ushahidi mkuu
An advocate/wakili ni ofisa wa mahakama na si mtumishi wa Mahakama. Hakimu au jaji ndiyo watumishi wa mahakama ila si mawakili.Mkuu wakili ni mtumishi wa mahakama fatilia vzr
Elimu ya sheria. Mawakili wana mamlaka kama mawili mbali na yale ya kiwakili...Mi nauliza wale wenye mihuri huku mitaani ukienda na documents anapiga muhuri na kuweka sahihi wanakuwa na elimu ipi?
Hii ni kwa mujibu wa katiba ya wapi bwashee? Yani hata uwe na seifiketi ya sheria tu inatosha na unaweza kuwa jaji?Jaji ni mtu mwenye busara na hekima anayepewa dhamana ya kuamua.
Wakili ni lazima awe amesoma sheria kwa kiwango cha degree na kupita pale Kaw school!
Kuwa Jaji hata cheti tu cha sheria kinatosha muhimu ni Busara na Hekima!
Ok! Elimu ya sheria katika ngazi ipi ndio unaruhusiwa kuwa na mihuri? Cheti, Dip or Degree?Elimu ya sheria. Mawakili wana mamlaka kama mawili mbali na yale ya kiwakili...
1. Notary Public....yaani wana mamlaka kisheria ya kutengeneza nyaraka zozote za kisheria.
2. Makamishena wa viapo....yaani wana mamlaka ya kushuhudia viapo vikichukuliwa mbele yao.
Hayo mamlaka ya kuthibitisha nyaraka wanayapata kwenye sheria ya Notary public & Commissioner for Oaths.
Mbali na mawakili sheria hiyo imetaja watu wengine pia kama Majaji, mahakimu etc wanaweza kufanya shughuli za kikamishena wa viapo.
Wakili ni ofisa wa mahakama, utumishi ni ajira za serikali kwa mawakili wa serikali, state Attorney.Mkuu wakili ni mtumishi wa mahakama fatilia vzr
Jina sahihi, Wakili anaitwa ofisa wa mahakama.Mkuu pia wakili ni mtumishi wa mahakama