mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,507
- 2,832
Wataalamu wa diplomasia naomba mnisaidie juu ya ujio wa marais wawili nchini Tanzania, rais wa chad na wa Zambia na wote mwenyeji wao mi mmoja rais wa Tanzania,hizi ziara zimegongana kwa bahati mbaya au ni maksudi?? Inawezekana vipi rais kuhold ugeni wa marais wawili wenye ajenda tofauti kwa muda mmoja?maana sijawahi kushuhudia, mmoja anakaa siku mbili mmoja siku tatu!!