Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Na karanga mbichi kwa wote walioalikwa ili ziwasaidie usiku.JPM ubishi anauweza hata wakija 38 anaweza kujadiliana nao na mambo yakaenda akashushia Uhai tu
Na karanga mbichi kwa wote walioalikwa ili ziwasaidie usiku.JPM ubishi anauweza hata wakija 38 anaweza kujadiliana nao na mambo yakaenda akashushia Uhai tu
JPM ni maarufu na uwezo wa kukaribisha na kujadiliana na marais hata 7 anao. Ngoyai hana jeuri hiyo , yeye aendelee na vikao vya ndani vya SACCOSS
Ukiwa ofisini ndiyo unalishughulikia vizuri zaidi. Wasaidizi wako ndiyo wanakuwa frontline. Commanders in chief hawawagi frontline kwenye mapambano hata siku moja. Ndiyo maana wakina Makonda wako frontline hadi Uwanja wa Fisi!!Tetemeko kwenyewe hakwenda mpaka leo
Magufuli kazuia vihela vya ujanja ujanja bila ya kufanya kazi. Hata zile buku 7 za kujipendekeza Lumumba siku hizi hazipo dadangu.JPM ni maarufu na uwezo wa kukaribisha na kujadiliana na marais hata 7 anao. Ngoyai hana jeuri hiyo , yeye aendelee na vikao vya ndani vya SACCOSS